Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Madaktari walivyojipanga msimu wa 2014/2015

Maumivu ya misuli, magoti na majeraha mbalimbali ni maradhi ambayo yamekuwa yakiwaandama wachezaji wa soka kwa nyakati tofauti, achilia mbali Ulaya. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MSIMU WA SIKUKUU DAR LIVE, WASANII WAELEZEA WALIVYOJIPANGA KUPOROMOSHA BURUDANI KALI

Mfalme wa Muziki wa Taarab nchini, Mzee Yusuf (wa pili kushoto) akielezea kwa wanahabari (hawapo pichani) alivyojipanga kuanguasha shoo ya nguvu katika Tamasha la Wafalme Sikukuu ya Xmas Dar Live. …

 

10 years ago

Vijimambo

KLABU YA RUVU SHOOTING YAUNGANA NA POLISI MORO SC KUSHUKA DARAJA LIGI KUU TANZANIA BARA MSIMU WA MWAKA 2014/2015.

Mgambo JKT.
Ndanda FC imefanikiwa kubaki ligi kuu Tanzania bara baada ya kuilaza Yanga SC bao 1-0 katika uwanja wa Nangwanda mjini Mtwara.


Kipigo walichopata Polisi Moro SC cha bao 1-0 dhidi ya Mbeya City kimewafanya kupata tikiti ya kushuka daraja na kuungana na Ruvu Shooting.


Kwa upande wa Stend United yenyewe imepata matokeo mazuri ya bao 1-0 dhidi ya Ruvu Shooting na kuinusuru timu hiyo kushuka daraja huku ikiiachia dhahama Ruvu Shooting.

Kikosi cha Prison.

Klabu za Polisi Moro SC na Ruvu...

 

10 years ago

GPL

VODACOM YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA TIMU 14 ZA LIGI KUU‏ KWA AJILI YA MSIMU WA 2014/2015

Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Tanzania Salum Mwalim,akiongea na waandishi wa habari(hawapo pichani)wakati wa kukabidhi vifaa kwa timu zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom.  kushoto ni Meneja biashara wa TFF Peter Simon na kulia ni Afisa mtendaji mkuu wa bodi ya ligi Silas Mwakibinga.Timu 14 zimekabidhiwa vifaa vyenye thamani ya zaidi ya Sh 430 Milioni. Kutoka kushoto:… ...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hiki ndiyo kikosi cha wachezaji 11 ambao wameng`aa zaidi kuelekea kumaliza mwaka 2015, msimu wa 2015/2016 kwenye EPL

Smalling-Vardy-Ozil-De-Bruyne

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Mtandao wa habari za michezo wa Goal.com umetoa majina 11 ya wachezaji ambao wameonyesha uwezo zaidi katika Ligi Kuu ya Uingereza EPL kwa msimu wa 2015/2016 kuelekea kumaliza mwaka 2015.

Mpaka sasa imeshachezwa michezo 17 na klabu ya Leicester City ikiwa nafasi ya kwanza kwa kukusanya jumla ya alama 38 ikifuatiwa na Arsenal yenye alama 36 na klabu ya Aston Villa ikiwa mkiani na alama 7.

Listi ya wachezaji hao ni kama ifuatavyo;

Golikipa

Jack Butland -Stoke...

 

10 years ago

Michuzi

MSIMU WA KOROSHO KUANZA AGOSTI 20, 2014

Bodi ya korosho Nchini Imetangaza Kuanza rasmi kwa ununuzi na uuzaji wa korosho katika msimu wa 2014/2015 utakaonza tarehe 20 mwezi huu ili wakulima waweze kuitumia vema fursa ya kuvuna mapema korosho zao kabla ya nchi nyingine kuanza kuvuna. Mwenyekiti wa bodi ya korosho Tanzania Mhe Anna Abdallah (MB)ameyasema hayo akiongea na waandishi wa habari na kubainisha kuwa ili kufikia azima hiyo ya kutumia fusa ya uvunaji mapema ni vizuri wadau wote wanaohusika na uuzaji na ununuzi wakamilishe...

 

9 years ago

Mwananchi

Uhamisho mkubwa msimu wa 2015/16

Ligi Kuu Tanzania Bara inaanza Jumamosi hii huku klabu za Simba, Yanga na Azam zikiwa ndiyo zilizotumia gharama kubwa kwenye usajili katika msimu huu wa 2015/16.

 

11 years ago

Dewji Blog

RC Mwanza azindua msimu wa ununuzi wa pamba 2014/15

pic mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo.

Na Mwandishi Wetu

MKUU wa mkoa wa Mwanza, Eng. Everisti Ndikilo, hivi karibuni amezindua rasmi msimu wa ununuzi wa pamba wa 2014/15 katika kijiji cha Isole Wilayani Sengerema.

Wadau wa msingi wa zao la pamba ambao ni pamoja na wanunuzi wa Pamba kupitia Chama cha Wafanyabiashara wa Pamba Tanzania (TCA), Wakulima kupitia Chama cha Wakulima wa Pamba Tanzania (TACOGA) Serikali kupitia Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika na Bodi ya Pamba pamoja na...

 

11 years ago

Dewji Blog

SBL yatangaza rasmi msimu wa ‘Fiesta 2014’

2 (2)

Mkurugenzi wa  masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti, Ephraim Mafuru akigonga ‘cheers’ katika uzinduzi rasmi wa msimu wa Serengeti Feista 2014. Hafla hiyo ilifanyika Serena hoteli Dar es salaam.

1 (5)

SBL Corporate Relations Director, Evans Mlelwa, Rugambo Rodney, Serengeti Brand Manager, Ephrahim Mafuru Marketing  Director for SBL , and Allan Chonjo, Meneja Masoko wa Serengeti kwa pamoja wakifanya ‘cheers’.

Na Mwandishi wetu

KAMPUNI  ya bia ya Serengeti  imetangaza kufungua rasmi msimu...

 

10 years ago

Mwananchi

Tunatarajia makubwa Ligi Kuu msimu wa 2014/15

Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2014/15 tayari imeanza juzi huku timu 14 zikiwania kubeba taji linaloshikiliwa na Azam ambayo ilitwaa taji hilo msimu wa 2013/14.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani