SBL yatangaza rasmi msimu wa ‘Fiesta 2014’
Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti, Ephraim Mafuru akigonga ‘cheers’ katika uzinduzi rasmi wa msimu wa Serengeti Feista 2014. Hafla hiyo ilifanyika Serena hoteli Dar es salaam.
SBL Corporate Relations Director, Evans Mlelwa, Rugambo Rodney, Serengeti Brand Manager, Ephrahim Mafuru Marketing Director for SBL , and Allan Chonjo, Meneja Masoko wa Serengeti kwa pamoja wakifanya ‘cheers’.
Na Mwandishi wetu
KAMPUNI ya bia ya Serengeti imetangaza kufungua rasmi msimu...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziKAMPUNI YA BIA YA SERENGETI YAZINDIUA MSIMU WA FIESTA 2014
Fiesta ya mwaka huu inadhaminiwa na kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Serengeti Premium Lager....
10 years ago
Michuzi
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI UPATIKANAJI WA FOMU ZA PROGAMU YA SAFARI LAGER WEZESHWA MSIMU IV
Fomu hizo zichukuliwe, zijazwe na kurejeshwa kwenye vituo...
11 years ago
Michuzi
MSIMU WA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR

Mkutano na wana habari za michezo na burudani kutoka vyombo mbali mbali ndio umezindua msimu huu katika hoteli ya Kebby’s ilioko maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam. Viongozi wa BASATA pamoja na wa bia ya Kilimanjaro walizungumzia mabadiliko chanya katika mchakato wa mwaka huu ikiwa ni juhudi na hatua za...
11 years ago
Michuzi
BALIMI EXTRA LAGER YATANGAZA RASMI UDHAMINI WA MASHINDANO YA MBIO ZA MITUMBWI KANDA YA ZIWA KWA MWAKA 2014

11 years ago
Michuzi
SAFARI LAGER YATANGAZA RASMI BAA 10 ZILIZOINGIA FAINALI KATIKA SHINDANO LA UCHOMAJI NYAMA MKOA WA MBEYA KWA MWAKA 2014

Shindano hili linalofanyika kila mwaka, linafanyika mwaka huu kwa mara ya saba mfululizo na litashirikisha mikoa ya Mbeya, Mwanza, Arusha, Kilimanjaro na Dar Es Salaam. Tangu lilipoanzishwa mwaka 2008, shindano hili limekuwa na mvuto wa kipekee kwa...
10 years ago
MichuziTMA yatangaza Utabiri wa msimu wa vuli
Msimu wa...
11 years ago
Dewji Blog02 Oct
www.TanzaniaBox.com yatangaza kurusha sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta mtandaoni dunia nzima
www.TanzaniaBox.com kwa kushirikiana na Clouds TV imetangaza kurusha mtandaoni moja kwa moja sehemu ya matangazo ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014 ambalo mwaka huu litashereheshwa na mwanamuziki kutoka Marekani, T.I ambaye pia ni mshindi wa tuzo ya Grammy.
Tamasha hilo litafanyika katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam tarehe 18 mwezi wa kumi mwaka 2014
Kwa mujibu wa www.TanzaniaBox.com baadhi ya vipande vya sehemu ya tamasha la Serengeti Fiesta na matukio maalumu ya nyuma...
10 years ago
Dewji Blog10 Aug
SBL yazindua rasmi tuzo ya ubora wa thamani ya Monde Selection kwa wateja wake
Mkuu wa kitengo cha Kuhamasisha Masoko kwa wateja toka Kampuni ya bia ya Serengeti Bw. Alfa Mria akizungumza na wateja wa bia ya Serengeti Premium Lager wakati wa uzinduzi rasmi wa tuzo ya ubora wathamaniya Monde Selection ambapo bia ya Serengeti Premium ya SBL imetuzwa medali ya dhahabu mwaka huu wa 2015. Sherehe ya kuzindua ushindi huo kwa wateja ilifanyika katika baa ya Toroka Uje iliyopo Kimara jijini Dar es salaam.
Meneja Masoko wa Kampuni ya bia ya Serengeti Bi. Anitha Msangi...
10 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...