MSIMU MPYA WA KTMA 2015 WAZINDULIWA LEO
![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykUmFbjRbmuxxpKtblXwpEteLJIBK98nsx4ASlOXwYUN7A3OAy1GtfGwy66g*RUhkL8lm2iKYWFTQfDKhBn7LnGq/KILI.jpg)
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MoQW6swxykXNnlVpH58UcHv55kIR5Mz286Hrk1oXJS6aPq7n05b9kGRhxEsUhxoElAMQ0vBh6YN58d34J91sEKVkk081-*iP/3.jpg?width=650)
MSIMU WA KTMA 2015 WAZINDULIWA RASMI
Meneja Udhamini wa TBL, George Kavishe, akizungumzia moja ya vipengele vipya vilivyofanyiwa maboresho kwenye tuzo hizo.…
10 years ago
GPLMSIMU WA TANO WA AIRTEL RISING STARS WAZINDULIWA LEO
Mkurugenzi wa Idara ya Michezo katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Leonard Thadeo akipiga mpira kuashiria kuzinduliwa kwa michuano hiyo. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati ya Mpira wa Miguu wa Vijana Tanzania, Ayoub Nyenzi, Mkurugenzi wa Idara ya Michezo katika Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Leonard Thadeo, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania, Beatrice Singano na Rais wa TFF, Jamal...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s72-c/kili_awards2.jpg)
MSIMU WA KILIMANJARO TANZANIA MUSIC AWARDS 2014 WAZINDULIWA RASMI LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-z-O5zQLcswY/UwINAKQ5s0I/AAAAAAAFNoA/Qt6HW9Xcjrs/s1600/kili_awards2.jpg)
Mkutano na wana habari za michezo na burudani kutoka vyombo mbali mbali ndio umezindua msimu huu katika hoteli ya Kebby’s ilioko maeneo ya Mwenge jijini Dar es Salaam. Viongozi wa BASATA pamoja na wa bia ya Kilimanjaro walizungumzia mabadiliko chanya katika mchakato wa mwaka huu ikiwa ni juhudi na hatua za...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SArOyutHoIk/VYK8AxA-B0I/AAAAAAAHg8E/GkCU6ETr81A/s72-c/unnamed%2B%252853%2529.jpg)
msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars wazinduliwa leo
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua rasmi msimu wa tano wa mashindano ya soka kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 ya Airtel Rising Stars ambayo yataanza kutimua vumbi Agosti 8 katika ngazi ya awali na kuhitimishwa kwa fainali za Taifa jijini Dar es Salaam kuanzia Septemba 11 - 21 mwaka huu. Akiongea na waandishi wa habari kwenye hafla ya uzinduzi jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano amesema kampuni ya Airtel Tanzania ...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s72-c/arsenal.jpg)
JEZI MPYA YA ARSENAL MSIMU UJAO 2015/16
![](http://3.bp.blogspot.com/-kOMfQZr7hBc/VXdDzgf8xFI/AAAAAAAAB_w/6ecHWbtlWyk/s400/arsenal.jpg)
Kwa wale wanaojiuliza ni lini Arsenal watatoa jezi zao mpya za Puma kwa ajili ya msimu wa 2015/2016, jibu hili hapa. Jezi za nyumbani za Arsenal zitakazotumika msimu ujao wa 2015/2016 zimevuja….hivyo mashabiki wa London na duniani kote wajiandae kupata mzigo mpya.
10 years ago
Africanjam.Com![](http://1.bp.blogspot.com/-sLc8dIseuYA/VW3JE7aLtCI/AAAAAAAAB38/11BswC4NZLA/s72-c/Man-Utd-leaked-kit.jpg)
JEZI MPYA YA MANCHESTER UNITED MSIMU UJAO 2015/16
![](http://1.bp.blogspot.com/-sLc8dIseuYA/VW3JE7aLtCI/AAAAAAAAB38/11BswC4NZLA/s400/Man-Utd-leaked-kit.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Dec
Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi wazinduliwa
Na Mwandishi Wetu
Msimu wa pili wa tamthilia ya Siri ya Mtungi...
10 years ago
Bongo502 Dec
Picha: Msimu wa pili wa tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’ wazinduliwa Dar
Msimu wa pili wa Tamthilia ya ‘Siri ya Mtungi’, leo umezinduliwa jijini Dar es Salaam ambapo utaanza kuoneshwa rasmi Jumapili, December 7 katika vituo mbalimbali vya runinga. Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi, Louise Kamin akizungumza na waandishi wa habari Akizungumza na waandishi wa habari ndani ya ukumbi wa Hadees Fast Food uliopo Posta […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania