Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa
Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa
Paul Kayanda na Elizabeth Maximillian, Kahama
ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowasa amewatembelea wachimbaji wadogo wa mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama ambao walifukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41 na kuwapa pole ya Sh milioni mbili.
Lowassa alifanya ziara hiyo siku moja baada ya mchimbaji mmoja, Onyiwa Kaiwao (55) kufariki dunia juzi kwa kushindwa kupumua baada ya kutapika na sehemu ya...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Wachimbaji migodi waliookolewa wakosa mali
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Mali za waliookolewa zilirithiwa
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Watoto waliookolewa wasahau majina yao
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Waliookolewa ajira za utotoni wafanya vizuri darasani
10 years ago
Habarileo02 Mar
Waziri Mkuu awatembelea waathirika wa ajali
WAZIRI Mkuu M i z e n g o Pinda amewatembelea askari Polisi waliolazwa kwenye Hospitali ya Mkoa wa Mbeya kutokana na ajali waliyopata juzi wakati msafara wake ukielekea Kata ya Galula wilayani Chunya.
10 years ago
GPLMR CHAMPIONI AWATEMBELEA WASOMAJI WAKE DAR
11 years ago
Mwananchi09 Mar
JK awatembelea Maranda, Mkambala waliolazwa Moi
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!