JK awatembelea Maranda, Mkambala waliolazwa Moi
Rais Jakaya Kikwete jana alimtembelea mfungwa, Rajabu Maranda anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la mgongo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Rais Kikwete hakumtembelea Maranda MOI
Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikielezea kuwa Rais Jakaya Kikwete aliwatembea wagonjwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) jijini Dar es Salaam.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Afya ya Maranda sasa yatetereka, alazwa Moi
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda, anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la mgongo.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s72-c/346.jpg)
MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWATEMBELEA NA KUWAPA POLE MAJERUHI TISA WALIOLAZWA HOSPITALI YA MNAZI MMOJA
![](http://1.bp.blogspot.com/-jcN9fwq49UM/VhUfWGXYzoI/AAAAAAABJhE/84VDWFxjHDc/s640/346.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-nmnQAqLlb0Q/VhUfV6JehaI/AAAAAAABJhA/6rYP1PBzMGQ/s640/349.jpg)
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi
Moi amezikwa kijijini kwake kaaribu na kaburi la marehemu mkewe Lena aliyeaga dunia mwaka 2004.
11 years ago
GPLCHANZO CHA AJALI YA SALUM MKAMBALA CHATAJWA
Mtangazaji wa Channel Salumu Mkambala, akipelekwa Theatre katika Hospitali ya Tumbi, Kibaha, Pwani. Msanii wa kundi la Mizengwe, Hemed Maliyaga (wa kwanza kulia) akisaidiana na ndugu pamoja na mke wa Mkambala (wa tatu kushoto) kumpeleka mgonjwa Theatre.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gWhc*8EYmk8e1S*ygWaw4wLzdGbglK1wrxW-pfQ5JLYDWaU5UY64zpXUeXpe2Tdg9xqB5UfMAwLn882xWTzRjWQjTQfKWv3S/beakingnews.gif)
SALUM MKAMBALA WA CHANNEL TEN APATA AJALI YA GARI
Mtangazaji wa Channel Ten, Salum Mkambala (pichani) amepata ajali ya gari ambalo alikuwa akiendesha kutoka Dar es Salaam kuelekea Morogoro. Kwa mujibu wa mmoja wa wafanyakazi wa Channel Ten ambaye ameidokeza Global Publishers.info, Mkambala alipata ajali hiyo maeneo ya Chalinze alfajiri ya leo na hali yake inaelezwa kuwa ni mahututi baada ya kuumia vibaya. Haijafahamika yuko hospitali gani kwani alikuwa peke yake kwenye gari na...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sFcLJp_QLmc/Uxw3DE5DHvI/AAAAAAAFSWI/jTIGuTFbXCc/s72-c/unnamed+(8).jpg)
JK amjulia hali mpiganaji Salum Mkambala wa channel ten leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-sFcLJp_QLmc/Uxw3DE5DHvI/AAAAAAAFSWI/jTIGuTFbXCc/s1600/unnamed+(8).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TnSnZq4s1fw/Uxw3EMxGghI/AAAAAAAFSWQ/1NgHCA704Lk/s1600/unnamed+(7).jpg)
10 years ago
Daily News02 Jul
Maranda acquitted in EPA case
Daily News
KISUTU Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam acquitted CCM cadre, Rajab Maranda and four others who were facing charges of forgery and theft of over 200m/- from the Central Bank's External Payment Arrears account (EPA). A three-judge panel ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania