Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afya ya Maranda sasa yatetereka, alazwa Moi

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajabu Maranda, anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (Epa) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la mgongo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete hakumtembelea Maranda MOI

Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikielezea kuwa Rais Jakaya Kikwete aliwatembea wagonjwa katika Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

JK awatembelea Maranda, Mkambala waliolazwa Moi

Rais Jakaya Kikwete jana alimtembelea mfungwa, Rajabu Maranda anayetumikia kifungo cha miaka 18 gerezani kwa wizi wa fedha katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), aliyelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akisumbuliwa na tatizo la mgongo.

 

10 years ago

Habarileo

Mahakama sasa yacharuka, yataka ripoti ya Maranda

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeutaka upande wa mashitaka kuandika barua kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa (MOI) kupata taarifa za maendeleo ya kiafya ya Kada wa CCM, Rajabu Maranda.

 

5 years ago

BBCSwahili

Maziko ya Daniel arap Moi: Maelfu ya raia wamiminika Kabarak kumuaga rais mstaafu Daniel Moi

Moi amezikwa kijijini kwake kaaribu na kaburi la marehemu mkewe Lena aliyeaga dunia mwaka 2004.

 

10 years ago

Mwananchi

Afya yangu kwa sasa inaimarika, niombeeni-Pengo

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki, Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema kuwa hali ya afya yake inaendelea kuimarika. na kuwataka waumini kuendelea kumwombea.

 

10 years ago

Daily News

Maranda acquitted in EPA case


Maranda acquitted in EPA case
Daily News
KISUTU Resident Magistrate's Court in Dar es Salaam acquitted CCM cadre, Rajab Maranda and four others who were facing charges of forgery and theft of over 200m/- from the Central Bank's External Payment Arrears account (EPA). A three-judge panel ...

 

11 years ago

Michuzi

MKUTANO WA MAANDALIZI YA KUINGIZA SEKTA YA AFYA KATIKA MPANGO WA MATOKEO MAKUBWA SASA

 Mtendaji Mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekezaji wa Miradi (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), Bw. Omari Issa akifafanua jambo wakati wa mkutano wa awali wa maandalizi ya kujadili vipaumbele vya sekta ya afya vitakavyoingizwa katika BRN. Mkutano huo wa siku nne umeanza jijini Dar es Salaam leo Jumanne. Kushoto ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid.

 Mkurugenzi wa SIKIKA, Bw. Irinei Kiria akiwasilisha mada kuhusu sekta ya afya wakati wa mkutano wa...

 

11 years ago

Habarileo

Kesi ya Maranda yakwama kusikilizwa Muhimbili

 Rajab MarandaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilishindwa kuhamia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kusikiliza utetezi wa kada wa CCM Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani