Mali za waliookolewa zilirithiwa
Hakuna msiba usiokuwa na mwenziwe. Msiba wa kwanza uliowapata wachimbaji watano wa madini katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, Shinyanga ulikuwa wa kufukiwa na kifusi na kuishi shimoni kwa shida kwa siku 41, lakini msiba wa pili baada ya kuokolewa ni kukuta mali walizokuwa wanamiliki zimerithiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Wachimbaji migodi waliookolewa wakosa mali
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa
Lowassa awatembelea wachimbaji waliookolewa
Paul Kayanda na Elizabeth Maximillian, Kahama
ALIYEKUWA Mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowasa amewatembelea wachimbaji wadogo wa mgodi wa Nyangalata wilayani Kahama ambao walifukiwa na kifusi mgodini kwa siku 41 na kuwapa pole ya Sh milioni mbili.
Lowassa alifanya ziara hiyo siku moja baada ya mchimbaji mmoja, Onyiwa Kaiwao (55) kufariki dunia juzi kwa kushindwa kupumua baada ya kutapika na sehemu ya...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Waliookolewa Nyangalata wakataliwa kwenda Bugando
10 years ago
BBCSwahili11 Mar
Watoto waliookolewa wasahau majina yao
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Waliookolewa ajira za utotoni wafanya vizuri darasani