Taharuki yaibuka machimbo ya Nyangalata, waliofukiwa wadaiwa kuwa hai
Wachimbaji wadogo wa madini katika machimbo ya Nyangalata wilayani Kahama, wameingiwa na hofu baada ya uvumi kwamba wenzao sita kati ya saba waliofukiwa na kifusi siku 42 zilizopita bado wapo hai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s72-c/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
TMA yatolea ufafanuzi juu ya taharuki ya hali ya anga kuwa na Rangi mbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s640/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
KUFUATIA kuwepo kwa taharuki na maswali kutoka kwa Umma juu ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au ya chungwa jana Aprili 16,2020 katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya hewa nchini TMA imetolea ufafanuzi hali hiyo na kusema kuwa ni hali ya kawaida kutokea.
Katika taarifa yake iliyotolewa leo Aprili 17, 2020 imeeleza kuwa, hali hiyo hutokea wakati jua linapozama au kuchomoza katika mazingira yenye kuwa na hali ya hewa kama vile mawingu,...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Nyota wa 'Empire' wadaiwa kuwa wapenzi
10 years ago
StarTV31 Dec
Mwamko wa wazawa katika utalii wadaiwa kuwa mdogo.
Na Zephania Renatus,
Kilimanjaro.
Mwamko kwa wazawa kutembelea vivutio vya utalii vilivyopo nchini unadaiwa kuwa mdogo kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uelewa wa umuhimu wa kutembelea vivutio hivyo.
Mkoa wa Kilimanjro umekuwa na bahati ya pekee ya kuwepo kwa mlima mrefu kupita yote barani Afrika Mlima Kilimanjaro.
Mlima huo ndiyo umebeba jina la mkoa huo.
Uwepo wa mlima huu uliosimama pekee wenye urefu wa mita 5895 kutoka usawa wa bahari umekuwa kichocheo kikubwa cha watalii...
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Raia wa kigeni wadaiwa kuchaguliwa kuwa wenyeviti wa vijiji
11 years ago
Bongo519 Jul
Lil Wayne na Christina Milian wadaiwa kuwa wapenzi!!
5 years ago
CCM Blog01 Mar
RAIS ROUHANI ASISITIZA KUWA JCPOA ITABAKI HAI KWA USHIRIKIANO
![Rais Rouhani asisitiza kuwa JCPOA itabakia hai kwa ushirikiano](https://media.parstoday.com/image/4bv6a26ff9db6e1lygu_800C450.jpg)
9 years ago
Bongo528 Oct
Uzushi kuwa Irene Uwoya amefariki wadaiwa kusababisha usumbufu mkubwa kwenye familia
10 years ago
Bongo510 Nov
Macaulay Culkin (Kevin) wa ‘Home Alone’ athibitisha kuwa yupo hai baada ya kuzushiwa kifo weekend iliyopita