Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?

KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.

Lula wa Ndali Mwananzela

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Tanzania

Tumekosa maono; yataka wanaharakati si wanasiasa kuliokoa taifa

SASA naanza kuyakubali kwa uzito na mtazamo chanya wa nyakati zetu, maneno ya mwimbaji mmoja wa nyimbo za Injili, Rose Mhando, alipoimba, (kama naweza kuyakariri kwa usahihi maneno yake) kama ifuatavyo:

“Kweli pasipo maono, taifa huanguka/Na pasipo washauri, taifa huangamia,

Naiombea nchi yangu, rehema kwako Mungu/Ewe Mungu, kwa wema wako, ……..

Ukaliponye taifa langu ……..”

Je, si kukosa maono, kwa taifa, pale uchumi wa nchi unapowekwa mikononi mwa kikundi kidogo cha...

 

10 years ago

Raia Mwema

‘Mafuriko’ ya Lowassa

KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000

Waandishi Wetu

 

10 years ago

Mtanzania

Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe

EdwardLowassaNa John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...

 

9 years ago

GPL

SIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...

Moja kati ya mikutano ya kampeni ya D.k Magufuli. Gabriel Ng’osha na Gladness Malya NDIYO maana! Mtabiri bingwa na mtaalam wa nyota Afrika Mashariki Maalim Hassan Yahya amepasua jipu kuwa wagombea wawili wa urais katika uchaguzi wa mwaka huu, John Magufuli na Edward Lowassa wanabebwa na nyota zao. Moja kati ya mikutano ya kampeni ya Ukawa. Akizungumza na waandishi wetu hivi karibuni, alisema kinajimu, herufi M inayosimama...

 

9 years ago

Mtanzania

Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa

LOWASSA 1*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha

 

Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga

 

WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia  Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.

Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.

Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...

 

10 years ago

Vijimambo

MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwa juu ya gari lake, akiwapungia mamia ya wana CCM waliofika kumdhamini huko Lamadi, wilaya ya Busega mkoani Simiyu, pamoja na wananchi wengine. Mh. Lowassa, aliwasili huko Jumanne Juni 10, 2015, ili apate wana CCM wa kumdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania urais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015. Lowassa, ambaye kwa sasa yuko Kanda ya ziwa, alipata maelfu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa

>Wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimaasai (Malaigwanan) kutoka Wilaya ya Monduli wamemuomba waziri mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa kubaki na kuendelea kuwa kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa sababu ndicho kilichomlea na anakijua.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mafuriko ya Lowassa yatikisa mkoa ya Mara

Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wa Musoma, alipowasili uwanja wa ndege wa Musoma Juni 9, 2015, kuendelea na kampeni yakle ya kuomba wana CCM wamdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania nurais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015 Lowassa, (kulia), akiwatuliza wana CCM na wananchi wa Musoma, waliojaribu kuvunja geti ili walao wapate kugusana naye...

 

9 years ago

Michuzi

MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI ARUSHA

Umati wa Wakazi wa mji wa Tengeru, ukiwa umefurika kwa wingi barabarani kumlaki Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa alipopita eneo hilo, wakati akielekea Jijini Arusha kwenye Mkutano wa hadhara wa kutambulishwa kwa Mgombea huyo kwa wananchi wa Arusha,uliofanyika kwenye Uwanja wa Kamandolu, leo Agosti 15, 2015.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani