Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?
KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.
Lula wa Ndali Mwananzela
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Tumekosa maono; yataka wanaharakati si wanasiasa kuliokoa taifa
SASA naanza kuyakubali kwa uzito na mtazamo chanya wa nyakati zetu, maneno ya mwimbaji mmoja wa nyimbo za Injili, Rose Mhando, alipoimba, (kama naweza kuyakariri kwa usahihi maneno yake) kama ifuatavyo:
“Kweli pasipo maono, taifa huanguka/Na pasipo washauri, taifa huangamia,
Naiombea nchi yangu, rehema kwako Mungu/Ewe Mungu, kwa wema wako, ……..
Ukaliponye taifa langu ……..”
Je, si kukosa maono, kwa taifa, pale uchumi wa nchi unapowekwa mikononi mwa kikundi kidogo cha...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
‘Mafuriko’ ya Lowassa
KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000
Waandishi Wetu
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Wazee wamzawadia Lowassa ng’ombe
Na John Maduhu, Mwanza
BARAZA la wazee Wilaya ya Nyamagana na Ilemela jijini Mwanza, limempatia Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ng’ombe wawili ikiwa ni sehemu ya kumuunga mkono katika harakati zake za kugombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi(CCM), muda ukifika.
Akizungumza wakati wa hafla fupi iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita jijini hapa, wakati wa kupokea mrejesho wa Umoja wa Shirika la Machinga Mwanza(SHIUMA), waliokwenda wilayani Monduli, mkoani Arusha kumshawishi Lowassa...
9 years ago
GPLSIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa
*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha
Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga
WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.
Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.
Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s640/Lowassa%2B3.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jul
Wazee wa kimila sasa wamwangukia Lowassa
10 years ago
Dewji Blog10 Jun
Mafuriko ya Lowassa yatikisa mkoa ya Mara
![](http://4.bp.blogspot.com/-paqSUUYV6CQ/VXdI-J72xgI/AAAAAAAAUtg/jVaNpwOsF9o/s640/Lowassa%2Bawasili%2BMusoma.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-bULCAGaGLr4/VXdI6G5_PXI/AAAAAAAAUtU/1NSCYh6QbBE/s640/LOWASSA%2BAWASILI%2BmUSOMA2.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s72-c/tengeru.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ro1X9pDa3WU/Vc9tF4mE2EI/AAAAAAAAAGc/l3rCL32sy8k/s640/tengeru.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-UmqS5nPVW18/Vc9vX9wvQ2I/AAAAAAAAAIA/suOGZyK7Q8w/s640/MMGL0876.jpg)