Tumekosa maono; yataka wanaharakati si wanasiasa kuliokoa taifa
SASA naanza kuyakubali kwa uzito na mtazamo chanya wa nyakati zetu, maneno ya mwimbaji mmoja wa nyimbo za Injili, Rose Mhando, alipoimba, (kama naweza kuyakariri kwa usahihi maneno yake) kama ifuatavyo:
“Kweli pasipo maono, taifa huanguka/Na pasipo washauri, taifa huangamia,
Naiombea nchi yangu, rehema kwako Mungu/Ewe Mungu, kwa wema wako, ……..
Ukaliponye taifa langu ……..”
Je, si kukosa maono, kwa taifa, pale uchumi wa nchi unapowekwa mikononi mwa kikundi kidogo cha...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Wazee watazuia mafuriko Lowassa na kuliokoa taifa?
KUNA msemo kuwa; “Penye wazee haliharibiki neno”.
Lula wa Ndali Mwananzela
10 years ago
Dewji Blog15 Dec
Balozi Seif afungua mkutano wa hifadhi na kuelezea maono ya taifa
Wageni mbalimbali wanaoshiriki mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha ulioanza leo katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC) wakifanya usajili kabla ya kuanza kwa mkutano huo. (Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu
MAKAMU wa pili wa rais Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi, amesema mpango wa serikali ya Tanzania wa hifadhi ya jamii ndio msingi wa sera ya kuondoa umaskini miongoni mwa watu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pJanJcsrIwH8zM0bbrfBJ4Xcjwd2Iqjw7gjADtof7OrhffnYO*xqXkz8DQi1rtFX2Z4amkPKWsDlmZrGmBGwAtDTMD4wl4BS/mandela.jpg?width=650)
"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"
9 years ago
Habarileo15 Oct
Wanasiasa nchini watakiwa kuweka mbele maslahi ya taifa
BARAZA la vyama vya siasa nchini limesema kazi ya kulinda kura ipo chini ya mamlaka ya vyombo vya ulinzi kwa mujibu wa katiba na sheria na si wananchi.
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KOMBE LA SHIRIKISHO: Tumekosa wote
9 years ago
Michuzi05 Jan
Serikali yataka hospitali binafsi kuacha kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima za Afya.
Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya hospitali au taasisi binafsi za afya kuwapima wagonjwa wanaotoka hospitali za Serikali vipimo ambavyo hawakuagizwa kuvipima na madaktari kutoka hospitali hizo kwani kufanya hivyo ni kuiongezea Serikali gharama zisizo la lazima.
Tamko hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangala wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
‘Mama kuku’ mwenye maono ya mbali
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Vurugu za maono zinatawala
WABUNGE ni watu wanaotoka kwenye mazingira na mitazamo tofauti ya kisiasa na kiitikadi, hivyo basi kuna kila sababu wote wakubaliane juu ya tofauti zao. Mchanganyiko maalumu wa wabunge wa Bunge...
10 years ago
Mwananchi17 Jun
MAONI : Bajeti ya Upinzani ina maono, Serikali iyafanyie kazi