"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"
Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi07 Feb
Rais wa Ujerumani ameacha funzo kwa wanasiasa
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Pumzika kwa amani mwanamichezo Mzee wetu Nelson Mandela Madiba
MWILI wa Mzee Nelson Mandela Madiba, ulizikwa jana kijijini kwake Qunu, Eastern Cape, baada ya kufariki Desemba 5, 2013 akiwa na miaka 95. Mandela ambaye kabla ya kupewa jina hilo...
10 years ago
GPLWASAUZI WAMESAHAU BUSARA ZA MADIBA?
10 years ago
Raia Tanzania16 Jul
Tumekosa maono; yataka wanaharakati si wanasiasa kuliokoa taifa
SASA naanza kuyakubali kwa uzito na mtazamo chanya wa nyakati zetu, maneno ya mwimbaji mmoja wa nyimbo za Injili, Rose Mhando, alipoimba, (kama naweza kuyakariri kwa usahihi maneno yake) kama ifuatavyo:
“Kweli pasipo maono, taifa huanguka/Na pasipo washauri, taifa huangamia,
Naiombea nchi yangu, rehema kwako Mungu/Ewe Mungu, kwa wema wako, ……..
Ukaliponye taifa langu ……..”
Je, si kukosa maono, kwa taifa, pale uchumi wa nchi unapowekwa mikononi mwa kikundi kidogo cha...
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Wanasiasa wetu na woga wa mabadiliko
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Ujumbe wa Kwaresima 2014 na wanasiasa wetu nchini
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?
10 years ago
BBCSwahili25 Jan
Ebola ni funzo kubwa kwa WHO na dunia
10 years ago
BBCSwahili08 May
Je Burundi itakuwa funzo kwa Afrika ?