Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujumbe wa Kwaresima 2014 na wanasiasa wetu nchini

>Wakati waumini wa madhehebu ya Kikirsto nchini, wakiwamo Wakatoliki wakiwa katika  siku 40 za mfungo wa Kwaresima ambao ni mahususi kwa ajili ya maandalizi ya Pasaka, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa ujumbe mzito kwa mwaka 2014.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wanasiasa wetu na woga wa mabadiliko

Kitabu cha Cycles of American kilichotungwa na Arthum Schelesinger Jr kinasema kutokufungwa na mawazo ya kale katika mazingira yanayobadilika kunampa kiongozi wa kidemokrasia nafasi ya kutengeneza vionjo vitamu ili apendwe na kufurahiwa na wengi.

 

10 years ago

Mwananchi

Njaa shuleni, tunapeleka ujumbe gani kwa watoto wetu?

WIKI kadha zilizopita tulishuhudia watoto wetu wakikatishwa masomo na kurudishwa nyumbani kwa sababu ya kukosa chakula shuleni. Pia baadhi ya shule na vyuo mlo wao ulibadilishwa; wakalizimika kula chakula mara chache ya utaratibu uliozoeleka au kula chakula chenye viwango duni.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?

The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"

Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?

Moja ya sifa za nje ya ofisi ambazo Rais Jakaya Kikwete anamwagiwa na Watanzania ni ile ya ushiriki wake katika masuala ya kijamii.

 

10 years ago

Michuzi

Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e- Government na ujumbe wake wamtembelea balozi wetu mdogo Dubai

 Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akisalimiana  na  Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa e-Government pamoja na ujumbe wake wakitokea New Delhi ambako walikuwa na mkutano na Wakala wenzao wa Serikali ya India.Katika mazungumzo yao, wamezungumzia jinsi ya kupata ufadhili kwa ajili ya kujenga uwezo wa Wakala wa Serikali kwa njia ya Mtandao(e- Government) Mhe. Omar Mjenga, Balozi Mdogo wa Tanzania- Dubai akiongea  na  Dkt. Jabiri Bakari, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Unafiki wa wanasiasa ni tatizo jingine nchini

MWANZONI mwa miaka ya sitini aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania na Baba wa Taifa letu, hayati Mwalimu Julius Nyerere, alitaja mambo matatu kuwa ni adui wa maendeleo. Aliwataja maadui...

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa wahusishwa mauaji albino nchini

MKURUGENZI wa Shirika la Umoja wa Mataifa, Alvaro RodriguezWANASIASA wamenyooshewa vidole, wakihusishwa na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi baada ya matukio hayo kuhusishwa na harakati za kuelekea katika uchaguzi mkuu.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu watibiwe nchini

KWA muda mrefu sasa, baada ya kila muda mfupi, tumesikia kiongozi mmoja wa nchi ya Kiafrika baada ya mwengine, amekwenda nje ya nchi yake kuchunguzwa afya au kupata matibabu. Wengi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani