Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wetu watibiwe nchini

KWA muda mrefu sasa, baada ya kila muda mfupi, tumesikia kiongozi mmoja wa nchi ya Kiafrika baada ya mwengine, amekwenda nje ya nchi yake kuchunguzwa afya au kupata matibabu. Wengi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miaka 50 ya Muungano, kwanini viongozi watibiwe nje ya nchi?

KWA muda mrefu kumekuwa na kilio cha wabunge na wananchi wa kawaida kupinga tabia na utamaduni wa tangu enzi wa kuwapeleka viongozi wetu kwenda kupata matibabu nje ya nchi badala...

 

9 years ago

Raia Mwema

Viongozi wetu walipoihepa historia

LILIKUWA tukio la kihistorialakini viongozi wa Tanzania waliamua kulipiga pande.

Ahmed Rajab

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 2

KUPITIA gazeti hili katika toleo namba 3456 la Mei 21, 2014 niliandika makala iliyokuwa na maudhui yenye kudadisi utendaji wa viongozi wetu kana kwamba hawajifunzi chochote kutoka katika mataifa yaliyoendelea....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jambo la hatari viongozi wetu wanachekelea!

Rais wangu Padri wetu wa roho alituambia, “Huwezi kuwa mjanja tangu asubuhi mpaka jioni. Kuna wakati utateleza tu”. Wenye hofu ya Mungu wanasema, “Mungu hamfichi mnafiki”. Ziko kelele kutoka kila...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 3

NIANZE makala yangu kwa kuwapa pole vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu zaidi ya 10,000 waliojitokeza Juni 13, 2014, pale Uwanja wa Taifa kwa ajili ya usahili wa awali kuomba...

 

10 years ago

Mwananchi

Viongozi wetu na kipimo cha maisha bora kwa kila Mtanzania

Mwaka 2005 wakati wa mchakato wa kampeni za urais, niliandika makala nikihadharisha kuhusu ahadi nyingi za ajira na maisha bora zilizokuwa zinatolewa na mgombea wa urais ambaye sasa ni Rais wa nchi.

 

10 years ago

Michuzi

VIONGOZI NCHINI WATAKIWA KUSHIRIKI MKUTANO MABADILIKO YA TABIA YA NCHI NCHINI ETHIOPIA

 Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
VIONGOZI nchini wametakiwa kushiriki katika mkutano wa mabadiliko ya tabia ya nchi utakaofanyika Julai 13 na 16 Addis Ababa Ethiopia.


Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam,Mratibu wa Mtandao wa Mabadiliko ya Tabia ya Nchi (CAN),Sixsbaty Mwanga amesema mkutano huo ni muhimu kutokana hali iliyopo sasa katika mabadiliko ya tabia ya nchi kwa kuongezeka ukame ,njaa pamoja na mafuriko, hivyo viongozi wanaweza kushawishi mkutano katika kuongeza...

 

11 years ago

Mwananchi

Ujumbe wa Kwaresima 2014 na wanasiasa wetu nchini

>Wakati waumini wa madhehebu ya Kikirsto nchini, wakiwamo Wakatoliki wakiwa katika  siku 40 za mfungo wa Kwaresima ambao ni mahususi kwa ajili ya maandalizi ya Pasaka, Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limetoa ujumbe mzito kwa mwaka 2014.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:''Mashoga watibiwe ili waponywe India''

Wanaume na wanawake na wale wanaotamani jinsi zote nchini India kuwekewa vituo maalumu vya kuwaponya ikiwemo mafunzo ili kuwarejesha katika utu wao wa awali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani