Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jambo la hatari viongozi wetu wanachekelea!

Rais wangu Padri wetu wa roho alituambia, “Huwezi kuwa mjanja tangu asubuhi mpaka jioni. Kuna wakati utateleza tu”. Wenye hofu ya Mungu wanasema, “Mungu hamfichi mnafiki”. Ziko kelele kutoka kila...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

“Obutula” ni hatari kwa uchumi wetu

“OBUTULA” ni neno la Kihaya/Kinyambo/Kinyankole, maana yake ni mkopo unaolipwa kwa mali na si  kwa fedha. Mkopo wenyewe unaweza kuwa wa fedha au mali, lakini wakati wa kulipa mtu analipa...

 

9 years ago

Raia Mwema

Viongozi wetu walipoihepa historia

LILIKUWA tukio la kihistorialakini viongozi wa Tanzania waliamua kulipiga pande.

Ahmed Rajab

 

10 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu watibiwe nchini

KWA muda mrefu sasa, baada ya kila muda mfupi, tumesikia kiongozi mmoja wa nchi ya Kiafrika baada ya mwengine, amekwenda nje ya nchi yake kuchunguzwa afya au kupata matibabu. Wengi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 2

KUPITIA gazeti hili katika toleo namba 3456 la Mei 21, 2014 niliandika makala iliyokuwa na maudhui yenye kudadisi utendaji wa viongozi wetu kana kwamba hawajifunzi chochote kutoka katika mataifa yaliyoendelea....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viongozi wetu dhamiri zao zimekufa? — 3

NIANZE makala yangu kwa kuwapa pole vijana wasomi wahitimu wa vyuo vikuu zaidi ya 10,000 waliojitokeza Juni 13, 2014, pale Uwanja wa Taifa kwa ajili ya usahili wa awali kuomba...

 

10 years ago

Vijimambo

JAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA



Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo

IMG_8831

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.

Marehemu...

 

10 years ago

Mwananchi

Matukio ya hatari yaliyowakumba viongozi wastaafu

Tukio la kufanyiwa vurugu kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba hivi karibuni limeshtua makundi mengi ya Watanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji: Ni hatari mikataba ya taifa kuwa siri ya viongozi

Tangu gesi asili ilipogunduliwa maeneo mbalimbali ya nchi ikiwamo Mtwara miaka ya hivi karibuni maswali mengi yameibuka juu ya namna rasilimali hizo zitakavyowanufaisha wananchi hususan kuwatoa katika lindi la umaskini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani