Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Matukio ya hatari yaliyowakumba viongozi wastaafu

Tukio la kufanyiwa vurugu kwa aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba hivi karibuni limeshtua makundi mengi ya Watanzania.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Uhuru Newspaper

Dk. Migiro: Chukueni hatua za matukio hatari


NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha Rose Migiro, amezitaka idara zinazohusika na jukwaa la haki jinai kuchukua tahadhari dhidi ya matukio yanayohatarisha usalama wa taifa.
Migiro alisema hayo jana katika ufunguzi wa kikao cha mawaziri na watendaji wa taasisi zinazounda jukwaa la haki jinai.
Alisema katika kukabiliana na matukio hayo, ushirikiano wa pamoja unahitajika katika utendaji kazi ili kudhibiti hali hiyo.
Dk. Migiro alisema mwenendo wa matukio ya uhalifu unaweza...

 

10 years ago

GPL

MATUKIO KIBAO YA UJAMBAZI BENKI, HATARI KUBWA!

Stori: Chande Abdallah, Mayasa Mariwata, Shani Ramadhani na Denis Mtima/ Ijumaa Wikienda
WAKATI kukiwa na dhana ya baadhi ya wafanyakazi na wateja wa mabenki nchini kuvujisha taarifa za wateja wanaotoa kiasi kikubwa cha fedha kwa majambazi ambapo mwishowe wateja hao huvamiwa na kuporwa, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) imetinga ndani ya benki kadhaa jijini Dar na kugundua udhaifu mkubwa katika ulinzi, Ijumaa Wikienda limeshika...

 

10 years ago

Mwananchi

Ulinzi wa viongozi wastaafu uwekwe kikatiba

Serikali imesema inapitia upya utaratibu wa ulinzi wa viongozi wastaafu ili kuepuka fedheha iliyotokana na vurugu alizofanyiwa Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba hivi karibuni.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunahitaji tafakari ya viongozi wakuu wastaafu

WAZEE wetu wastaafu ambao mlifanyakazi na Mwalimu Julius Nyerere tangu mwaka 1961 baada ya Uhuru

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

VIONGOZI WASTAAFU: Mipango mingi ya Waafrika hukwamishwa

>Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya amesema baadhi ya mipango ya Waafrika imekuwa ikikwamishwa kwenye mikutano ya kimataifa kwa kushindwa kupewa kipaumbele kama ilivyokuwa ikitarajiwa.

 

9 years ago

MillardAyo

Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)

Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]

The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Jambo la hatari viongozi wetu wanachekelea!

Rais wangu Padri wetu wa roho alituambia, “Huwezi kuwa mjanja tangu asubuhi mpaka jioni. Kuna wakati utateleza tu”. Wenye hofu ya Mungu wanasema, “Mungu hamfichi mnafiki”. Ziko kelele kutoka kila...

 

11 years ago

Mwananchi

Mwekezaji: Ni hatari mikataba ya taifa kuwa siri ya viongozi

Tangu gesi asili ilipogunduliwa maeneo mbalimbali ya nchi ikiwamo Mtwara miaka ya hivi karibuni maswali mengi yameibuka juu ya namna rasilimali hizo zitakavyowanufaisha wananchi hususan kuwatoa katika lindi la umaskini.

 

5 years ago

Michuzi

VIONGOZI WA TANCDA WAMPONGEZA WAZIRI WA AFYA KUKEMEA MATUMIZI YA TUMBAKU KWA KUWA NI HATARI

Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
VIONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Magonjwa Yasiyoambukiza (TANCDA)limeamua kutoa pongezi kwa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kwa hatua yake ya kukemea matumizi ya tumbaku kwa kuwa ni hatari kwa afya.
Kwa mujibu wa TANCDA ni kwamba tamko la Waziri Ummy Mwalimu linaonesha namna ambavyo Serikali ya Awamu ya Tano inavyojali afya za Watanzania, lakini pia kulinda maslahi ya kiuchumi na kijamii.Waziri wakati akizindua Ripoti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani