VIONGOZI WASTAAFU: Mipango mingi ya Waafrika hukwamishwa
>Waziri Mkuu Mstaafu, Cleopa Msuya amesema baadhi ya mipango ya Waafrika imekuwa ikikwamishwa kwenye mikutano ya kimataifa kwa kushindwa kupewa kipaumbele kama ilivyokuwa ikitarajiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Tunahitaji tafakari ya viongozi wakuu wastaafu
WAZEE wetu wastaafu ambao mlifanyakazi na Mwalimu Julius Nyerere tangu mwaka 1961 baada ya Uhuru
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Matukio ya hatari yaliyowakumba viongozi wastaafu
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Ulinzi wa viongozi wastaafu uwekwe kikatiba
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s72-c/unnamed+(16).jpg)
VIONGOZI NA WATAALAM WA OFISI YA RAIS, TUME YA MIPANGO WAKAGUA MAENDELEO MRADI WA MAKAA YA MAWE MCHUCHUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Acmn5sLVKac/U7BMAGXGh9I/AAAAAAAFtdY/1tfHM-NquB4/s1600/unnamed+(16).jpg)
11 years ago
MichuziRC RUVUMA AWATAKA VIONGOZI KAMATI YA FEDHA ,UCHUMI NA MIPANGO NYASA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIUNGA NA MFUKO WA AFYA YA JAMII (CHF )
![](http://3.bp.blogspot.com/-w3m-sm2V0hI/TqFXhmsdVrI/AAAAAAAANQ0/2K89JuWBGvA/s1600/RC%2Baksisitiza%2Bjambo%2Bnamtumbo.jpg)
mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said...
9 years ago
Press30 Dec
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango Ametoa Maagizo Kwa Tume ya Mipango
WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango ameiagiza Tume ya Mipango kufanya utafiti kuhusu mapato ya Serikali na namna ya kuongeza wigo wa ukusanyaji mapato.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Mipango wakimpokea Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango alipowatembelea kwa lengo la kuwaaga.
Amesema Tume ya Mipango kama chombo cha ushauri kwa Serikali kuhusu mipango na uchumi wa nchi, ni lazima ifanye utafiti juu ya ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuongeza vyanzo wa kukusanya...
9 years ago
Dewji Blog15 Dec
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akutana na watendaji wa Wizara ya Fedha na Mipango
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servacius Likwelile akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji kabla ya kuanza majadiliano na watendaji wa Wizara na Taasisi.
Naibu Waziri, Wizara ya Fedha na Mipango Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji akiongea na watendaji wa Wizara na Taasisi alipokutana nao katika ukumbi wa Wizara ya Fedha na Mipango.
Akizungumza na uongozi wa Wizara na Taasisi Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji aliwaasa...
9 years ago
Habarileo26 Aug
TUICO: Migogoro ya kazini bado ni mingi
CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na ushauri (TUICO) kimekiri kuwepo kwa migogoro mingi baina ya wafanyakazi na waajiri wao. Hayo yalisemwa jana na wakili wa chama hicho kutoka makao makuu Dar es Salaam, Noel Nchimbi, kwenye mkutano mkuu wa TUICO kwa mkoa wa Shinyanga.
10 years ago
Mwananchi08 Dec
Njombe, Arusha zapeta, mingi yashindwa