Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUICO: Migogoro ya kazini bado ni mingi

CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na ushauri (TUICO) kimekiri kuwepo kwa migogoro mingi baina ya wafanyakazi na waajiri wao. Hayo yalisemwa jana na wakili wa chama hicho kutoka makao makuu Dar es Salaam, Noel Nchimbi, kwenye mkutano mkuu wa TUICO kwa mkoa wa Shinyanga.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wivu huleta migogoro kazini

WAKATI unapokuwa na mafanikio katika kampuni au eneo la kazi, unaweza kujikuta una marafiki wengi, pamoja na maadui wachache. Hawa maadui mara nyingi wamekuwa wakijaribu kukuangusha au kukufanya ushindwe katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Tuico wadhalilishwa EPZ

Mgogoro wa malipo kati ya wafanyakazi wa kiwanda cha nguo cha Tanzania Took Garment umechukua sura mpya kutokana na uongozi kutotoa ushirikiano kwa Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (Tuico).

 

11 years ago

TheCitizen

Tuico seeks to block Shoprite transfer

>The Labour Division of the High Court will  today hear an injunction filed by  the Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers (Tuico) that aims  at blocking business ownership transfer from Shoprite Checkers (T) Limited to Nakumatt of Kenya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

CRDB, Tuico kuboresha hali za wafanyakazi

BENKI ya CRDB imeingia mkataba na Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Fedha, Viwanda, Huduma na Biashara (Tuico), kuboresha hali za wafanyakazi. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Mkurugenzi Mtendaji...

 

9 years ago

Mwananchi

Tuico yaingilia kati mgomo wa Urafiki

Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda na Biashara (Tuico) Mkoa wa Dar es Salaam, kimewataka wafanyakazi wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kusitisha mgomo na kuendelea na kazi wakati madai yao ya nyongeza ya mishahara na posho yakiendelea kushughulikiwa na mwajiri wao.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TUICO yataja sababu za kususia uchaguzi TUCTA

CHAMA Cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri (TUICO) kimeeleza sababu za kutoshiriki uchaguzi wa Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Nchini (TUCTA). Akizungumza jana...

 

9 years ago

Vijimambo

TUICO YAPATA VIONGOZI WAPYA MKOANI MBEYA

Katibu wa TUICO  Mkoa wa Mbeya Ndugu Merboth Kapinga akizungumza na wajumbe wa Tuico siku ya uchaguzi uliofanyika katika Ukumbi wa Chuo cha Otu jijini Mbeya.(JAMIIMOJABLOG)Wajumbe wa mkutano wakiimba wimbo wa pamoja.Na Emanuel Madafa, Mbeya
CHAMA cha Wafanyakazi wa Viwanda, Biashara, Taasisi za Fedha, Huduma na Ushauri Mkoa wa Mbeya, kimefanikiwa kupata viongozi wapya watakao kiongoza chama hicho katika kipindi cha miaka mitano 2015  hadi 2020.


Uchaguzi umefanyika katika chuo cha...

 

10 years ago

Daily News

TUICO candidate rejected over disputed age criteria


TUICO candidate rejected over disputed age criteria
Daily News
TANZANIA Union of Industrial and Commercial Workers (TUICO) has called upon trade unions registrar to intervene in a matter whereby its sole candidate to the post of presidency of Trade Union Congress (TUCTA) was ruled out on age criteria. Mr Gratian ...

 

10 years ago

Michuzi

WANACHAMA WA TUICO TAWI LA MUWSA ,WAPATA VIONGOZI WAPYA

Viongozi na wananchma wa Chama cha Wafanyakazi TUICO tawi la MUWSA wakiimba wimbo wa Solidarity.Viongozi wapya wa Chama cha Wafanyakazi (TUICO) tawi la MUWSA wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kuchaguliwa kuongoza tawi hilo kwa kipindi cha miaka mitano. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani