Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Njombe, Arusha zapeta, mingi yashindwa

Ikiwa kesho ni siku ya mwisho kwa mikoa kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete la ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari nchini, baadhi ya mikoa imetekeleza agizo hilo kwa asilimia 95 wakati mingine imetimiza kwa asilimia kati ya 30 na 50 na mingine ina asilimia sifuri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.

Mgombea Ubunge wa jimbo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Barca, Bayern zapeta

Barca, Bayern zapeta Arsenal, Chelsea chali

 

9 years ago

BBCSwahili

Valencia, Celtic na Shaktar zapeta

Valencia, Celtic , Shaktar zapeta mchujo kuwania tiketi ya kuingia hatua ya makundi katika michuano ya klabu bigwa Ulaya

 

9 years ago

BBCSwahili

Spurs, Leicester zapeta Epl

Wakicheza ugenini katika dimba la light, timu ya soka ya Tottenham imeibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Sunderland

 

11 years ago

Mwananchi

Moro, TMK, Kinondoni zapeta

Timu tisa zinashiriki michuano ya Kombe la Taifa ambayo Ijumaa itachezwa hatua ya nusu fainali Dar es Salaam. Timu za Morogoro, wenyeji Temeke na Kinondoni zimefanikiwa kutinga nusu fainali ya michuano ya Kombe la Taifa ya Netiboli inayoendelea kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam, City zapeta, Simba mh!

Dar es Salaam. Azam na, Mtibwa zimeendelea kung’ara katika  Ligi Kuu Tanzania Bara, wakati Simba ikisuasua baada ya kulazimishwa sare ya goli 1-1 na Polisi Morogoro jana.Azam imepanda kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Ruvu

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga,Simba,Azam zapeta

Vigogo wa soka nchi Tanzania Yanga, Simba pamoja na Azam FC wamendeleza wimbi la ushindi katika michezo ya ligu kuu

 

11 years ago

Mwananchi

West Zone, East zapeta Bball

Timu za West Zone 3 Kinondoni na East Zone 4 ya Temeke zimeibuka na ushindi katika mechi za mashindano ya kikapu ya Sprite Bball Kitaa zilizofanyika kwenye viwanja vya Gymkhana, Dar es Salaam juzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba, Yanga zapeta Rolling Stone Dar

Timu za vijana za Simba, Yanga na Mtibwa Sugar zimetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya vijana walio na umri chini ya miaka 15 na 20 ya Rolling Stone inayoendelea kwenye viwanja vitatu tofauti jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani