MATUKIO KIBAO YA UJAMBAZI BENKI, HATARI KUBWA!
![](http://api.ning.com:80/files/1asLTm0wi-vLMdtRZV632p4Mgf8i*Rc*Csf65dkGbI-sDGMlnpnUEgzi7w1RIpLYD8qw03YMBxUKbSoW*NjFYQj1KejDghsT/ofm.jpg?width=650)
Stori: Chande Abdallah, Mayasa Mariwata, Shani Ramadhani na Denis Mtima/ Ijumaa Wikienda WAKATI kukiwa na dhana ya baadhi ya wafanyakazi na wateja wa mabenki nchini kuvujisha taarifa za wateja wanaotoa kiasi kikubwa cha fedha kwa majambazi ambapo mwishowe wateja hao huvamiwa na kuporwa, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) imetinga ndani ya benki kadhaa jijini Dar na kugundua udhaifu mkubwa katika ulinzi, Ijumaa Wikienda limeshika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fl5zqutucoeNXaXDkWC*PnGCOPB0bZ*5Ai5ud5l7bcArwjjbA1bKADVfhbjkRUPeJv1Puty9dECc9uvRK75vyK6ncf8bmfTp/OFM3.jpg)
MATUKIO YA UJAMBAZI BENKI; USALAMA BADO NI MDOGO! OFM YAJA NI RIPOTI MAALUM!
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s72-c/2.jpg)
MAKAMANDA WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SIMIYU NA SHINYANGA WAVUNJA NGOME HATARI YA MTANDAO WA UJAMBAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-YxpdeOi5a60/VLr6cfJaT4I/AAAAAAAATy8/7fB_MLB1alQ/s640/2.jpg)
Alisema mtiliwa shaka huyo alipohojiwa alisema kuwa jeraha hilo alipigwa risasi na jambazi mwenzake aitwaye Njile Samweli wakati wakifanya tukio la ujambazi katika kijiji cha Idukilo kata ya Mwadui Luhumbo wilayani Kishapu mkoani Shinyanga...
10 years ago
CloudsFM14 Aug
ASKOFU ATUPWA JELA MIAKA 32 KWA UJAMBAZI BENKI
Askofu wa Kanisa la Christian Fellowship Assemblies of God la Arusha, Jumanne Kilongola amehukumiwa kifungo cha miaka 32 jela baada ya kupatikana na hatia ya kupora Sh5.3 bilioni ndani ya Benki ya NBC, Tawi la Moshi Mei 21, 2004.
Katika hukumu hiyo iliyotolewa jana na Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kilimanjaro, Simon Kobelo, askofu huyo amehukumiwa kifungo hicho pamoja na raia watano wa Kenya baada ya kupatikana na hatia ya kufanya wizi huo kwa mtutu wa bunduki.
Kati ya...
11 years ago
Uhuru Newspaper12 Jul
Dk. Migiro: Chukueni hatua za matukio hatari
NA LATIFA GANZEL, MOROGORO
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha Rose Migiro, amezitaka idara zinazohusika na jukwaa la haki jinai kuchukua tahadhari dhidi ya matukio yanayohatarisha usalama wa taifa.
Migiro alisema hayo jana katika ufunguzi wa kikao cha mawaziri na watendaji wa taasisi zinazounda jukwaa la haki jinai.
Alisema katika kukabiliana na matukio hayo, ushirikiano wa pamoja unahitajika katika utendaji kazi ili kudhibiti hali hiyo.
Dk. Migiro alisema mwenendo wa matukio ya uhalifu unaweza...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Matukio ya hatari yaliyowakumba viongozi wastaafu
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwzNEauquDiJsBAS8RQP*Epz169aebAJGtPFwn9xWNnlYBVqZhzRZTtWg4O3VSezxooros717U2p7MPF9lq84yQ8/Chipsi.jpg?width=650)
HATARI KUBWA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vf77AmMaeXsQ3o97jEsXMTKuTznEjpBsPWEhUDqyuFqUf9CDbkGachAoSzwqr27t1vj56HmqeLXc2SJrrn*21tdy-ZuATx0-/soda.jpg?width=650)
WANYWA SODA WANA HATARI KUBWA YA KUPATWA SARATANI!
9 years ago
MillardAyo17 Dec
Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18)
Soka imekuwa kama burudani nyingine ya kawaida kwa watu wa rika zote, siku hizi ni kawaida kuona mtu anapanga ratiba yake ya siku lakini usishangae kumuona katenga muda wa kwenda kuangalia mpira katika ratiba zake, licha ya kuwa ndio mchezo wenye mashabiki wengi duniani au ndio mchezo maarufu zaidi. Kuna baadhi ya matukio huwezi kutamani […]
The post Matukio 10 hatari ambayo huwezi kuyaangalia mara mbili katika mechi ya mpira wa miguu (+Video& +18) appeared first on TZA_MillardAyo.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu