Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HATARI KUBWA!

Mayasa mariwata na Shani ramadhani HATARI! Kufuatia kuwepo kwa madai kwamba, baadhi ya wakaanga chipsi mijini, hususan jijini Dar, wamekuwa wakitumia mafuta ya transifoma kukaangia chakula hicho, timu ya Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ ya Global Publishers iliingia mtaani kwa lengo la kujiridhisha. OFM iliingia kwenye viunga mbalimbali vya jiji hasa sehemu ambazo zina vibanda vya wauza chipsi na kuzungumza nao. Muuza chipsi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

MATUKIO KIBAO YA UJAMBAZI BENKI, HATARI KUBWA!

Stori: Chande Abdallah, Mayasa Mariwata, Shani Ramadhani na Denis Mtima/ Ijumaa Wikienda
WAKATI kukiwa na dhana ya baadhi ya wafanyakazi na wateja wa mabenki nchini kuvujisha taarifa za wateja wanaotoa kiasi kikubwa cha fedha kwa majambazi ambapo mwishowe wateja hao huvamiwa na kuporwa, Oparesheni Fichua Maovu (OFM) imetinga ndani ya benki kadhaa jijini Dar na kugundua udhaifu mkubwa katika ulinzi, Ijumaa Wikienda limeshika...

 

11 years ago

GPL

WANYWA SODA WANA HATARI KUBWA YA KUPATWA SARATANI!

INAKADIRIWA kiasi cha watu milioni 1.6 watapatwa na ugonjwa wa saratani mwaka huu nchini Marekani na inakadiriwa kuwa kati ya hao, watu laki 5 watapoteza maisha kutokana na ugonjwa huo hatari. Pia kiasi cha watu laki 6 hufariki kwa ugonjwa wa moyo nchini humo kila mwaka. Licha ya maendeleo ya kisayansi yaliyopatikana kwa nusu karne iliyopita, lakini makampuni ya kimagharibi yanayotengeneza dawa za binadamu, yameshindwa kuvumbua...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Waliobadilisha jinsia 'wana hatari kubwa' wakati huu

Mashirika ya kutetea haki za binadamu yanasema masharti yaliyowekwa ya kuzuwia kusambaa kwa virusi vya corona yanawaweka hatarini sana watu waliobadili jinsia zao.

 

11 years ago

Michuzi

BARABARA KIJICHI - MBAGALA KUU NI HATARI ZAIDI YA HATARI!

Barabara ya Kijichi – Mbagala Kuu, ndani ya jiji la Dar es Salaam kama ilivyokutwa jana na Mdau Nathan Mpangala. Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Butiama, Bw. Haji Mgaya, alisema, dhahma hiyo ni ya muda mrefu na Manispaa ya Temeke ina taarifa hiyo kwa kupindi chote hivyo,lakini mpaka leo iko kimya tu.  Hapa dereva ‘akilala’ tu, kilio kitongoji kizima zikifuatiwa na salamu za rambirambi nyiiingi toka kwa viongozi. Inawezekana Manispaa ya Temeke haina picha halisi ya hatari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani