Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?

Moja ya sifa za nje ya ofisi ambazo Rais Jakaya Kikwete anamwagiwa na Watanzania ni ile ya ushiriki wake katika masuala ya kijamii.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya watu 120 wameuwa baada ya tukio la kuvamiwa kwa jiji la Paris na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi

JS76579997Vikosi vya uokoaji wakiendelea na kutoa huduma wakati wa tukio hilo usiku wa kuamkia leoo katika jiji la Paris, nchini Ufaransa.

Na Rabi Hume, Modewjiblog na Mashirika ya Habari 

[PARIS] Watu zaidi ya 120 wameuwa na watu wanaodhaniwa kuwa magaidi baada ya kuvamia jiji la Paris, Ufaransa nje ya uwanja wa uliokuwa ukichezwa mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani (Stade de France).

Ripoti zinasema wakati mchezo huo ukiendelea ilisikika milio ya mabomu matatu (3)  yakilia nje ya...

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa himizeni watu waisome Katiba - Migiro

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amevitaka vyama vya siasa, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, viongozi wa Serikali na jamii kuhamasisha wananchi kusoma Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

GPL

MUUNGANO WETU NA WATU WANAOUTAKA NA WASIOUTAKA

Richard Manyota KWENYE kaya yetu mwishoni mwa wiki iliyopita pameadhimishwa sherehe za miaka 51 za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwangu mimi sherehe hizo pamoja na historia yake nimezitazama kama za watu wanaoutaka na wasioutaka muungano. Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Amani Abeid Karume Kielelezo: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, katika kauli zake amenukuliwa akisema muungano...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu Awaacha Watu Njia Panda…..Je ni Kweli Mjamzito?

Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewacha njia panda  mashabiki na wafuasi wake kwenye mtandao wa INSTAGARM baada ya hapo jana usiku kubadika picha ya mwanamke mwenye ujauto na kuandika maneno ambayo hayaelezi wazi kuwa ni yeye.

“Happy New Month Lovies….Si ruksa kuitana wala ku munch”-Lulu aliandika.

Kitendo cha Lulu kuchimba mkwala akiwata watu wasiitane  kuja kuona wala kufanya kijiwe cha  kujadiliana juu ya picha hiyo (Kama inavyoonekana hapo juu) ndio kuliamsha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ajenda ya utekelezaji kwa watu wetu na dunia yetu — Nikhil Seth

Press Conference

Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo Endelevu (DESA) ya Umoja wa Mataifa, mjini  New York, Marekani, Bw. Nikhil Seth akifafanua kuhusu mikakati inayoendelea ndani ya Umoja wa Mataifa mwaka huu ili kuwa na Maendeleo Mapya endelevu yatakayochukua nafasi ya Malengo ya Milennia mwishoni mwa mwaka huu wakati wa mkutano na waandishi wa habari.

MWAKA 2015 ni wa kuadhimisha sherehe za miaka 70 ya Umoja wa Mataifa. Pia huu ni mwaka ambao nchi zitakutana kuidhinisha mikakati ijayo ya malengo kwa watu...

 

11 years ago

Habarileo

DC: Ni aibu Sumbawanga kuwa na watu waliodumaa

MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Mathew Sedoyeka amesema ni aibu kwa wakazi wa mkoa wa Rukwa kuwa na watu waliodumaa ilhali mkoa wa Rukwa ambamo Sumbawanga imo ni miongoni mwa mikoa michache nchini inayoongoza kwa uzalishaji wa mazao ya chakula, hususan mahindi.

 

10 years ago

Vijimambo

JIJI LA WATU WASIO LALA NEW YORK LIKIWA HALINA WATU BARABARANI WAKATI TUFANI ILIPOANZA KUANGUKA

Hapa ni Radio Cty New York jiji jeupe kila mtu ndani theluji iliyoambatana na upepo ilizima mbio mbio zote za sifa ya jiji la wasiyo lala mbona kila mtu alilala bila kupenda chezea mother nature wewe. 5 Avenue barabara nyeupe kama siyo New York vile Hali ilikuwa mbaya sana na kusababisha shughuli nyingi kusimama nje na ndani Jamaa akijaribu kupita huku na kule kuona kama atapata kakibarua ka kuzoa theluji vibarazani kwa watuKwa picha zaidi bofya soma zaidi


 

10 years ago

Vijimambo

Unawaambia nini watu wanaodharau kazi za watu?

Kila binadamu ananjia zake za kutafuta ridhiki ili aweze kuishi na kupata mahitaji yake muhimu,kuna binadamu ambao wao hujiona ni bora kuliko wengine mpaka kufika hatua ya kuwadharau na kuwapuuza watu wa kipato cha chini,wanasahau kuwa maisha ni kutegemeana huyu asipofanya kazi ya kuuza mkaa yeye anaweza kushindwa kula sababu ili ale huenda mkaa ungesaidia kupika.huyu asipozibua vyoo kesho wewe utashindwa kutumia choo chako ulichokijenga kwa gharama kubwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani