Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanasiasa himizeni watu waisome Katiba - Migiro

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amevitaka vyama vya siasa, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, viongozi wa Serikali na jamii kuhamasisha wananchi kusoma Katiba Inayopendekezwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Watanzania watakiwa waisome Katiba mpya

WATANZANIA wametakiwa kuisoma na kuielewa Katiba Inayopendekezwa ili kuweza kufanya maamuzi sahihi wakati wa kupiga Kura za Maoni baadaye mwezi huu.

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Uwoya aonyesha Tatoo yake ili watu waisome?

Vijimambo: Picha hii ya mrembo na mwigizaji  wa filamu anaezimikiwa na mashabiki wengi, Irene Uwoya imewaacha midomo wazi mashabiki wake huku wakiwa na alamaza kujiuliza vichwani mwao.

Irene aliibandika picha hii  mtandaoni bila kuandika kitu chochote kwahiyo ikawa kawa amewaachia fursa mashabiki wake watiririke.

Mbali na watu kusifia uzuri wake kwa ujumla, watu wengi walijikita kwenye tattoo yake ambayo amejichora juu ya kifua, karivu kabisa na shingo yake.

Wengi walijiongeza kuwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?

Moja ya sifa za nje ya ofisi ambazo Rais Jakaya Kikwete anamwagiwa na Watanzania ni ile ya ushiriki wake katika masuala ya kijamii.

 

10 years ago

TheCitizen

New standoff on Katiba as Migiro presents budget

>The differences between the government and the opposition bench over the Proposed Constitution became evident in Parliament yesterday as the former stuck to its guns, saying the process was still on.

 

10 years ago

TheCitizen

We won’t back down on Katiba vote, says Migiro

The government has made it clear that it is determined to implement the Referendum for the Proposed Constitution as per schedule.

 

10 years ago

TheCitizen

Migiro: Read, digest new Katiba docu ahead of vote

>The government yesterday distributed about 658,700 copies of the Proposed Constitution to government institutions, civil society organisations and religious groups in Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge Maalumu la Katiba limetekwa wanasiasa’

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Makersia Jibubu amesema anasikitishwa na namna wanasiasa walivyoliteka Bunge hilo na kuwafanya wajumbe wengine walioteuliwa na Rais kuwa kama njia ya kupitishia hoja zao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani