Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PICHA: Uwoya aonyesha Tatoo yake ili watu waisome?

Vijimambo: Picha hii ya mrembo na mwigizaji  wa filamu anaezimikiwa na mashabiki wengi, Irene Uwoya imewaacha midomo wazi mashabiki wake huku wakiwa na alamaza kujiuliza vichwani mwao.

Irene aliibandika picha hii  mtandaoni bila kuandika kitu chochote kwahiyo ikawa kawa amewaachia fursa mashabiki wake watiririke.

Mbali na watu kusifia uzuri wake kwa ujumla, watu wengi walijikita kwenye tattoo yake ambayo amejichora juu ya kifua, karivu kabisa na shingo yake.

Wengi walijiongeza kuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

WOLPER: Aonyesha Tatoo Yake Mpya

Hatimaye muigizaji wa filamu, Jackline Wolper akiwa kwenye mavazi ya ki-TOM BOY, leo hii ameonyesha Tatoo yake mpya aliyopo sehemu ya juu  kwenye mkono wake wa kushoto.

Hivi majuzi mitandaoni kulikuwa na picha zilizomuonyesha mwanadada huyo akiwa anachorwa tatoo na jamaa wanaofahamika kama MALAIKA TATOO.

Katika moja ya picha hizo ilyomuonyesha Wolper ameketi kwenye kiti cha kibosi ya cha kuchorewa huku amevalia mavazi ya ki-tom boy meusi na bonge la NDULA, huku jamaa mchoraji akionekana...

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa himizeni watu waisome Katiba - Migiro

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amevitaka vyama vya siasa, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, viongozi wa Serikali na jamii kuhamasisha wananchi kusoma Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mpiga picha maarufu Zanzibar Javed Jafferji aonyesha picha aliyompiga marehemu Princess Diana miaka 20 iliyopita

11136648_10153295745215712_8799672780772721249_n

-Javed Jaffereji  is master of Photographer  for many year. Javed  now stay  in Zanzibar

-He post he special photo and written:

“My favourite picture which I had photographed m, almost twenty years ago when I was a Paparazzi Photographer… The Late Princess Diana at her best during Royal Ascot, races …..”

Professional photographer, Javed Jafferji has journeyed the vast corners of East Africa over the last decade, capturing the essence of this prestigious and extraordinary area. His...

 

10 years ago

Bongo Movies

KIVAZI Cha LULU Chaonyesha Tatoo Yake Ya Juu Ya Kiuno

Muigizaji Diana Elizabeth Michael kama anavyojiita kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM, maarufu kwajian la  LULU ni moja kati wa mastaa wa Bongo movie wanaotumia kurasa zao kwenye mtandao wa INSTAGRAM ku-Share nasi picha zao, stori  na ujumbe mambali mabali yani kwa kifupi wanazitendea haki kurasa zao..Kwa hilo tunakupongeza.

Back to the Topic

Hivi majuzi mwanadada LULU aliweka picha matata (icheki hapo juu) ambayo iliwafanya Followers wake kwenye ukurasa  wake watoe comments na like za...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale:Wolper Amshukia “Bidada” Anaetumia Jina Lake Picha na Sauti Yake Kutapeli Watu

Dunia ya Utandawazi, watu wanavipaji jamani!!!!. Wolper amempasha huyu kama ifuatavyo;

“why why why unanichafulia jina we shuwainiiii mpumbavu mmoja maana kama unajua paka napokaa inamaana utakua ata insta uona kila kitu Mungu niokoe nilichokipanga kisifanikiwe nikakukamata mikononi mwangu nitafungwa kifungo cha maisha.. Alafu unaweka na picha yangu whatsup na sauti unageza yani sauti yangu kabisa muawaji mkubwa wewe fisi ,mende,peremende.Mungu akulaani wewe na kizazi chako tena kizazi...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND AONYESHA KUFURU YA FEDHA BETHIDEI YA MAMA YAKE

Mama Diamond Bi Sanura akimlisha keki 'mkwewe' Wema Sepetu katika sherehe yake ya kuzaliwa iliyofanyika jana. Keki iliyotolewa oda na Diamond iliyoandikwa ujumbe wake maalum.…

 

9 years ago

Bongo Movies

Kwa Mara ya Kwanza Wastara Aonyesha Miguu Yake na Kuandika Mazito

Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kama unavyoiona pic
Huyo ndio wastara nilivyo hakuna kilichopungua zaidi ya hicho unachokiona
Kuwa mlemavu ni kitu kingine tofauti ukiwa mzima hivyo kusikia maumivu na kuumwa mguu ni kitu cha kawaida
Sasa nipo nairobi kimatibabu na tatizo ni operetion ya kwanza nilikosewa ndio sababu ya maumivu ya mara kwa mara madaktari wameshajua nini cha...

 

10 years ago

GPL

MADONNA AONYESHA MAKALIO YAKE KATIKA RED CARPET ZA TUZO ZA GRAMMY 2015

Madonna akionyesha makalio yake. MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa Pop nchini Marekani asiyeishiwa vituko, Madonna jana ametoa kali nyingine baada ya kuinua juu gauni lake na kuonyesha makalio yake wakati akipiga picha za red carpet kwenye zoezi la utoaji Tuzo za 57 za Grammy. Madonna akiwasili katika red carpet ya Tuzo za Grammy 2015 akiambatana na mwanamuziki Nas. Madonna… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani