Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpiga picha maarufu Zanzibar Javed Jafferji aonyesha picha aliyompiga marehemu Princess Diana miaka 20 iliyopita

11136648_10153295745215712_8799672780772721249_n

-Javed Jaffereji  is master of Photographer  for many year. Javed  now stay  in Zanzibar

-He post he special photo and written:

“My favourite picture which I had photographed m, almost twenty years ago when I was a Paparazzi Photographer… The Late Princess Diana at her best during Royal Ascot, races …..”

Professional photographer, Javed Jafferji has journeyed the vast corners of East Africa over the last decade, capturing the essence of this prestigious and extraordinary area. His...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Mfahamu mpiga picha maarufu Albert Manifester anayetumia kipaji chake kusaidia jamii

258270_465050636851038_395823295_oAlbert Manifeter katika pozi..

Na Andrew Chale, modewjiblog

Duniani, kila mwanadamu amejariwa uwezo na kipawa cha kufanya kitu ambacho mwingine hawezi kukifanya kwa  upande wake, iwe kwa kufundishwa ama kuzaliwa nacho, Hii pia tunaweza kuona kwa Mpiga picha maarufu nchini, Albert Manifester, ambaye amekuwa na uwezo mkubwa wa kupiga picha kiasi cha kujenga jina lake katika  ngazi mbalimbali ikiwemo ndani na nje ya nchi.

Hata hivyo, kupitia kipaji chake hicho, albert Manifester, Mei 24 mwaka...

 

11 years ago

Michuzi

tukio la kihistoria, JK apiga picha na ma-bloggers, mpiga picha ni kinana

 Mwenyekiti wa wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata picha ya pamoja na ma-bloggers wakubwa wa Tanzania wakati wa kiadhimisha sherehe za miaka 37 za uhai wa CCM uwanja wa Sokoine jijini Mbeya. Picha hii imepigwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahmana Kinana hapo chini...

 

10 years ago

GPL

MPIGA PICHA ATUMIA MIAKA 2 KUJIFANYA BIBI KIZEE ILI KUJUA WAZEE WANAVYOISHI

Kyoko Hamada katika mizunguko yake kama bibi kizee. IMEZOELEKA kuwa binadamu wengi hupenda kuonekana vijana hata kama umri umeenda huku wengine wakitumia baadhi ya vipodozi, dawa za kuficha mvi na kuvaa mavazi yanayofanya waonekane vijana japo si vijana. Mpigapicha Kyoko Hamada (42), yeye aliamua kuwa tofauti na kuishi kwa miaka miwili akijifanya bibi kizee ili kujua hasa wazee wanavyochukuliwa katika jamii. Hamada, ambaye ni...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Wastara onesha miguu yake kwa mara ya kwanza toka alipokatwa mguu mmoja miaka 6 iliyopita

Wastara

Weekend iliyopita muigizaji mrembo wa filamu za Bongo, Wastara Juma aliamua kuweka wazi kile kinachoendelea kwenye maisha yake toka alipokatwa mguu wake wa kulia miaka 6 iliyopita.

Wastara

Akiwa jijini Nairobi kwenye matibabu, Wastara alipost picha hii kwenye akaunti yake ya Intagram na kuandika ujumbe ufuatao;

wastara mguu

“Kwa mara ya kwanza toka nimekatwa mguu miaka 6 iliyopita leo nimechukua nafasi hii kupost hii pic kuondoa maswali mengi yaliyopo vichwani mwa watu
Nipo kma unavyoiona pic.

Huyo ndio...

 

9 years ago

Bongo5

Nyimbo 5 za Diamond zilizopo stoo zitaendelea kumuweka kileleni kwa miaka 10 – asema mpiga picha wake

dai n zar

Diamond Platnumz ni msanii ambaye (angalau kwa sasa) haoneshi dalili za kushuka kimuziki hivi karibuni. Tunayo mifano mingi ya wasanii wa Bongo ambao waliwahi kufanya vizuri sana na baadaye kupotea kabisa kwenye ramani ya muziki.

dai n zar

Diamond ambaye ameachia ngoma mpya ‘Utanipenda’ wiki iliyopita ambayo imekuwa gumzo kwa watu wa kila rika, ana akiba ya hits na collabo za maana, ambazo kwa mujibu wa mpiga picha wake zinampa uhakika wa kuendelea kukaa kileleni kwa miaka mingine kumi ijayo.

mashine...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mpiga Gitaa maarufu wa Skylight Band marehemu Chiri Challa azikwa Jijini Dar

 Waombolezaji wakiwa msibani Jana kushoto mwenye tisheti nyeusi ni Mratibu wa Skylight Band

William Malecela akijadili jambo na Mkurugenzi wa Skylight band Justine Ndege ili kuweka mambo sawa kabla ya Mwili wa marehemu kuwasili.

Baadhi ya waombolezaji wakibadilishana mawazo Katikati ni Mwanamuziki wa Skylight band Joniko Flower.

Waombolezaji wakiendelea kubadilishana mawazo wakati wakisubili mwili wa marehemu Kufika,Mwenye Baibui nyeusi ni mke wa Chicago Matelephone na wanamuziki wa...

 

10 years ago

GPL

IDRIS: NILIKUWA MPIGA PICHA WA LULU

Makala: Shani Ramadhani
Leo hii kwenye Live  Chumba cha Habari tunaye mshindi wa Shindano la Big Brother Hotshots 2014, Idris Rashid Sultan ambaye amekuwa ndiyo habari ya mjini sasa hivi baada ya kujishindia kitita cha shilingi milioni  510 na kuahidi kurudisha nguvu zote kwa Waafrika ambao wamebadilisha maisha yake. Idris Sultan akifafanua jambo kwa wafanyakazi wa Global (hawapo pichani). Katika mahojiano na safu hii...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mpiga picha na familia yake wauawa Burundi

Mpiga picha wa runinga ya taifa nchini Burundi, pamoja na familia yake wameuawa katika mji mkuu Bujumbura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani