New standoff on Katiba as Migiro presents budget
>The differences between the government and the opposition bench over the Proposed Constitution became evident in Parliament yesterday as the former stuck to its guns, saying the process was still on.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/3brXBUnauTg/default.jpg)
10 years ago
TheCitizen13 Feb
We won’t back down on Katiba vote, says Migiro
10 years ago
Habarileo22 May
Wanasiasa himizeni watu waisome Katiba - Migiro
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amevitaka vyama vya siasa, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, viongozi wa Serikali na jamii kuhamasisha wananchi kusoma Katiba Inayopendekezwa.
10 years ago
TheCitizen17 Mar
Migiro: Read, digest new Katiba docu ahead of vote
10 years ago
VijimamboWaziri Migiro akabidhi Katiba inayopendekezwa kwa taasisi za kidini, asasi za kiraia na walemavu
10 years ago
Dewji Blog16 Mar
Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia
Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).
Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aL6oy8fL_qY/VQbU4WOjWyI/AAAAAAAHKuA/oOi6zZjxVBg/s72-c/unnamedc1.jpg)
WAZIRI MIGIRO AKABIDHI NAKALA ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WALEMAVU, TAASISI ZA KIDNI NA ASASI ZA KIRAIAB
Watanzania wametakiwa kuisoma katiba inayopendekezwa kwa umakini ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika kuandika historia mpya ya nchi.
Hayo aliyasema leo Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akikabidhi katiba inayopendekezwa kwa makundi mbalimbali,Migiro amesema nchi itaandika historia mpya baada ya kupata katiba mpya.
Alisema wananchi wakisoma katiba kwa umakini kutasaidia kufikia matarajio katika kutengeneza ramani ya nchi kwa kuvuka...
11 years ago
Michuzi15 May