Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


New standoff on Katiba as Migiro presents budget

>The differences between the government and the opposition bench over the Proposed Constitution became evident in Parliament yesterday as the former stuck to its guns, saying the process was still on.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

We won’t back down on Katiba vote, says Migiro

The government has made it clear that it is determined to implement the Referendum for the Proposed Constitution as per schedule.

 

10 years ago

Habarileo

Wanasiasa himizeni watu waisome Katiba - Migiro

Waziri wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Asha-Rose Migiro, amevitaka vyama vya siasa, jumuiya za kidini, asasi za kiraia, viongozi wa Serikali na jamii kuhamasisha wananchi kusoma Katiba Inayopendekezwa.

 

10 years ago

TheCitizen

Migiro: Read, digest new Katiba docu ahead of vote

>The government yesterday distributed about 658,700 copies of the Proposed Constitution to government institutions, civil society organisations and religious groups in Dar es Salaam.

 

10 years ago

Vijimambo

Waziri Migiro akabidhi Katiba inayopendekezwa kwa taasisi za kidini, asasi za kiraia na walemavu

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba Inayopendekezwa yenye maandishi yaliyokuzwa mara baada ya kukabidhiwa na Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro (kulia) katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro, Naibu wake Ummy Mwalimu katika picha ya pamoja na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Migiro akabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa kwa walemavu, taasisi za kidni na asasi za kiraia

WKS Kundecha

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Asha-Rose Migiro akimkabidhi nakala za Katiba Inayopendekezwa mwakilishi wa Baraza Kuu la Taasisi na Jumuiya za Kiislam Sheikh Mussa Kundecha katika hafla fupi ya kugawa nakala hizo zilizoandaliwa na Serikali kwa taasisi mbalimbali iliyofanyika katika Ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam leo (Jumatatu, Machi 16, 2015). (Picha: Farida Khalfan, Wizara ya Katiba na Sheria).

WKS - Albino

Mwenyekiti wa Chama cha Albino Tanzania Bw. Ernest Kimaya akisoma nakala za Katiba...

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MIGIRO AKABIDHI NAKALA ZA KATIBA INAYOPENDEKEZWA KWA WALEMAVU, TAASISI ZA KIDNI NA ASASI ZA KIRAIAB

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
Watanzania wametakiwa kuisoma katiba inayopendekezwa kwa umakini ili kuweza kufanya maamuzi sahihi katika kuandika historia mpya ya nchi.
Hayo aliyasema leo Waziri wa Katiba na Sheria,Dkt. Asha-Rose Migiro wakati akikabidhi katiba inayopendekezwa kwa makundi mbalimbali,Migiro  amesema nchi itaandika historia mpya baada ya kupata katiba mpya.
Alisema wananchi wakisoma katiba kwa umakini kutasaidia kufikia matarajio katika kutengeneza ramani ya nchi kwa kuvuka...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani