MUUNGANO WETU NA WATU WANAOUTAKA NA WASIOUTAKA
![](http://api.ning.com:80/files/NpAlVAvTs3PI09fN*DSO9Z08aEPISDquz5H--NWIDT0J6AgLh5ZLVdB35ECX9yqlQk0MWYNmuUFH0If*yup1f5sJUbCcXmsq/750_400_768dc99af4cdacd4db6dbfaef5194a44.jpg?width=650)
Richard Manyota KWENYE kaya yetu mwishoni mwa wiki iliyopita pameadhimishwa sherehe za miaka 51 za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kwangu mimi sherehe hizo pamoja na historia yake nimezitazama kama za watu wanaoutaka na wasioutaka muungano. Hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Amani Abeid Karume Kielelezo: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, katika kauli zake amenukuliwa akisema muungano...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Watanzania waachwe waamue aina ya Muungano wanaoutaka
LEO ni Sikukuu ya Muungano ambapo Watanzania tunaadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, hivyo kuunda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Licha ya kasoro na matatizo tuliyopitia ndani...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?
11 years ago
Mwananchi13 Mar
‘Kero zisivunje Muungano wetu’
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Muungano wetu ni wa hiari au shuruti?
KWA mujibu wa sensa ya idadi ya watu na makazi ya mwaka 2012, vijana ni zaidi ya asilimia 60 ya watu wote takribani milioni 45. Kwa tafsiri ya takwimu hizo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s72-c/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
MUUNGANO WETU NI FAHARI YETU
![](https://1.bp.blogspot.com/-tVt7OqUrwAs/XqWkjjMTtVI/AAAAAAALoTA/1F0yYNUWFb0vob5bvL1wkOrMuozBj8goACLcBGAsYHQ/s640/4d70f2eb-b5a3-4d7b-9a0c-c3af4d755cb0.jpg)
Na Emmanuel J. Shilatu
Ni miaka 56 imetimia tangu jahazi lililowabeba Watanganyika na Wazanzibar liweke historia ya kung’oa nanga mara baada ya Jamhuri Muungano wa Tanzania kuzaliwa rasmi mnamo April 26,1964. Hii ilitokana na ujasiri, ushupavu na nia ya dhati waliyokuwa nayo waasisi wa Muungano huu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (Tanganyika) na Abeid Aman Karume (Zanzibar).
Hatua hiyo ilifikiwa kutokana na mtiririko wa kimazingira na mahusiano ambayo yalishabihiana kama sio kufanana...
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Muungano na Utanzania wetu ni kipi kinatangulia-2
10 years ago
Habarileo16 Sep
'Muungano wetu ni zaidi ya thamani ya fedha'
BUNGE la Katiba limeelezwa kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, uliasisiwa kutokana na kuwepo faida kubwa ya uchumi wa wananchi na usalama wa nchi.
11 years ago
Mwananchi11 Jun
KARUGENDO: Muungano, Utanzania wetu ni kipi kilichotangulia?