Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASAUZI WAMESAHAU BUSARA ZA MADIBA?

Nelson Mandela. Richard Manyota
HALI ya hewa imechafuka sana nchini Afrika Kusini kwa wenyeji kuwafanyia kitu kibaya wageni, hasa wanaotoka katika nchi za Afrika. Wanadai, wingi wao umewafanya wao wakose ajira ndani ya nchi yao. Hii siyo mara ya kwanza kutokea kwa vurugu za namna hii, historia inaonyesha kuwa jambo hili ni la mara kwa mara. Haya yanatokea miaka miwili tu tangu kufariki dunia kwa rais wa kwanza mweusi wa nchi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

"BUSARA YA MADIBA NI FUNZO KWA WANAHARAKATI NA WANASIASA WETU"

Nelson Mandela. Historia haina uchoyo na mawazo kwa kila mwanadamu aliyejitosa kutengeneza historia.NELSON MANDELA ni miongoni mwa wanahistoria waliowahi kuijua na kuitengeneza historia ya dunia na kuwastaajabisha magwiji wa kihistoria wa huko ughaibuni kama akina Hegel,almond na wengine wengi. Madiba alikuwa ni mwanasiasa aliyeamini kuwa haki itapatikana kwa njia ya amani kabisa(non violence).Ili kuweza kutimiza ndoto zake za...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wamesahau majukumu yao, wanasubiri maagizo

INATAKA upeo mkubwa wa kufikiri kung’amua kuwa aina ya utendaji wa kazi tunaoushuhudia sasa hivi

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Habarileo

Maajabu ya Madiba

KATIKA uhai wake mpambanaji dhidi ya ubaguzi wa rangi duniani, Nelson Mandela, aliishangaza dunia alipotangaza msamaha kwa waliomtesa na akiwa marehemu, amekutanisha viongozi mahasimu wa kisiasa duniani katika uwanja mmoja wakimuaga. Hicho ndicho kilichomsukuma mshindi mwenzake wa Tuzo ya Nobel, Askofu Desmond Tutu, kusema Mandela alikuwa wa maajabu na alionesha maajabu akiwa hivi sasa ni marehemu.

 

11 years ago

Habarileo

Kwaheri Madiba

Mjane wa Rais wa kwanza Mwafrika nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel akimuaga mume wake. Mwili wa shujaa huyo wa dunia ulilazwa katika jengo la serikali la Union kutoa nafasi kwa wananchi kumuaga mpendwa wao. (Picha na AFP).MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.

Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.

Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...

 

11 years ago

Mwananchi

Madiba na maisha ya kifamilia

Wakati Nelson Mandela anaongoza Afrika Kusini dhidi ya ubaguzi wa rangi na baadaye kuwa kiongozi maarufu duniani baada ya kutoka jela, inabidi tujiulize ni watu gani ambao walikuwa karibu naye kifamilia, kiroho na kuumia naye na waliomfahamu zaidi ya wote?

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vikumbo vyatawala kumuaga Madiba

VIUNGA vya Jiji la Pretoria nchini Afrika Kusini, jana viligubikwa na umati mkubwa wa watu waliokusanyika katika jengo la Umoja kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa nchi...

 

10 years ago

BBC

VIDEO: 'The Madiba bubble has popped'

Bishop Mike Foster says the idea that South Africa was a beacon of hope has been an 'illusion'.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnaiba iba tu jina la Madiba

Mi leo nimechefuliwa kimtindo, kwanza kutokana na ishu hizi za Madiba, siamini kama mshua ndiyo itabaki kumkumbuka tu. Najua kwamba alikuwa kazima longtaimu, ila sasa ile kuambiwa ndiyo rasmi kazima, imenisheki kidogo mtu mzima siko sawa wala nini.

 

11 years ago

BBC

Viewpoint: What 'Madiba magic' means to me

How Nelson Mandela won hearts during and after apartheid

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani