Vikumbo vyatawala kumuaga Madiba
VIUNGA vya Jiji la Pretoria nchini Afrika Kusini, jana viligubikwa na umati mkubwa wa watu waliokusanyika katika jengo la Umoja kwa ajili ya kuuaga mwili wa aliyekuwa rais wa nchi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DLo0tVWR9KfziR4zNADXEGPZ*bozRWowORqB1CEEGrx*pfzWuvvqSDZmicIZc9IyM01nn5zjGbddbYV9R*HVV7V*b6DyJotu/makocha.jpg?width=650)
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
9 years ago
Mtanzania20 Aug
Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.
Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox5-CmqZWnA*qZQFSDRi9400*5m-JKyUfPT0jsEa0XxO0RjrGSGAa6kLY5O862HFUjOePjK3LOx4o9GU9UNBsQKS/stevenyerere.jpg?width=650)
NYERERE, DK. CHENI WAPIGANA VIKUMBO
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Vikumbo vyaanza jimbo la Ukonga
Na Humphrey Shao, Dar es Salaam
MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kitengo cha kompyuta, Anthony Karokola, ametangaza nia yake ya kugombea ubunge Ukonga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) .
Aliwaambia waandishi wa habari ni kwa jinsi gani anavyosukumwa na maendeleo ya wana Ukonga na kutaka kuendeleza alipoishia marehemu Eugine Mwaiposa.
“Nitamuenzi mama Mwaiposa kwa kufuata nyayo zake na kufuata mazuri yote aliyoyafanya na aliyotaka kuyafanya nitayatekeleza,” alisema Karokola.
Alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/eGJdezr2p4XoJJHrJ*OXLNHK8VNLjTsR0a-en3S4SSi*FAIYGVKQlAgvJId5VfqpqjE-GFxbasShT169z*pstMnlJvvrqLWD/aunty.gif?width=650)
WEMA, AUNT WAKUTAKA, WAPIGANA VIKUMBO
11 years ago
Mwananchi18 Jul
Shule zapigana vikumbo kupanda na kushuka
10 years ago
Mtanzania09 Jun
Wagombea urais vikumbo kila kona
NA WAANDISHI WETU
MAKADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliotangaza nia ya kugombea urais, sasa ni wazi wanapigana vikumbo kila kona ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na kila mtangaza nia kwa nyakati tofauti kutoa kauli nzito.
Wapo makada ambao kauli zao zinaonyesha wazi kuwa kuna mgongano ndani ya CCM, huku wengine wakitangaza nini watakifanya endapo watateuliwa kuongoza nchi.
MEMBE: SINA UNDUGU NA JK
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema hana undugu na Rais...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qeusznqd6YluAs88IJpYrCjR4v-wc09vIoQDj3N0qumcmxQU7o1b5*HrjjdjCNOdVmZI*GmMuYa5*MOAddR3aapW8vJpSHzh/lulu.gif?width=650)
LULU, MAMA KANUMBA WAPIGANA VIKUMBO
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Vikumbo vya umeya Mwanza hatari
KITI cha Meya wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza kimeendelea kukodolewa macho ambapo safari hii ina
Mwandishi Wetu