MAONI : Bajeti ya Upinzani ina maono, Serikali iyafanyie kazi
Tumeisoma kwa umakini mkubwa Bajeti ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa bungeni juzi na Waziri Kivuli wa Fedha, James Mbatia. Bajeti hiyo kwa kiasi kikubwa imeanika kasoro nyingi zilizomo katika Bajeti ya Serikali ya mwaka wa fedha wa 2015/16 kiasi cha kuibua maswali mengi kama kweli uandaaji wa bajeti za Serikali katika miaka ya hivi karibuni umekuwa ukizingatia weledi na vigezo vinavyotumika katika mataifa mengi duniani, ikiwa ni pamoja na kutumia takwimu...
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jun
MAONI : Utoro wa wabunge umeathiri Bajeti ya Serikali
11 years ago
Mwananchi13 Jun
BAJETI 2014/2015: Bajeti yawagawa wabunge, CCM waipongeza, upinzani waiponda
11 years ago
Mwananchi14 Jun
MAONI BAJETI: Wananchi mikoani waiponda Bajeti 2014
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Bajeti ya upinzani yatoa mwanga
WAKATI serikali ikishindwa kubainisha vyanzo vipya vya mapato, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeainisha maeneo nane yatakayoliwezesha taifa kupata sh trilioni 6.194. Mbali na kutoa vyanzo hivyo vipya, bajeti mbadala...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jun
Bajeti ya upinzani 2014/15 isipuuzwe
UKISOMA mawazo ya wanasiasa na watu wa kada mbalimbali kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2014/2015, utapata picha kuwa kuna kasoro kubwa sana katika bajeti hiyo pengine kuliko...
10 years ago
Mwananchi02 Jun
Upinzani, Kamati ya Bunge waifumua bajeti ya Elimu
11 years ago
BBCSwahili08 Jul
Upinzani wapendekeza Kura ya maoni Kenya
10 years ago
Mwananchi11 Jun
MAONI: Leo ni Bajeti, ni muhimu kuisikiliza, kuielewa
11 years ago
Mwananchi13 Jun
MAONI: Bajeti ya mwaka 2014/15 siyo endelevu