Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Vurugu za maono zinatawala

WABUNGE ni watu wanaotoka kwenye mazingira na mitazamo tofauti ya kisiasa na kiitikadi, hivyo basi kuna kila sababu wote wakubaliane juu ya tofauti zao. Mchanganyiko maalumu wa wabunge wa Bunge...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma


Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba  1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa  2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...

 

11 years ago

Habarileo

Vurugu Bunge Maalum la Katiba

BUNGE Maalum la Katiba, limeanza kuingia dosari na kulazimika kuahirishwa kabla ya muda wake waliojipangia, baada ya kuwepo malumbano, kuzomeana miongoni mwa wajumbe na wengine kuonesha dhahiri kutaka kupigana ndani ya ukumbi, baada ya kunyanyuka na kuzuiwa na wajumbe wenzao. Hali hiyo ilimlazimu Mwenyekiti wa Muda wa Bunge, Pandu Ameir Kificho, kuahirisha semina hiyo saa 6:13 mchana badala ya saa 7:00 mchana, baada ya wajumbe kuonesha utovu mkubwa wa nidhamu kwa kukaidi agizo lake la...

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), kuna taarifa kwamba huenda Oktoba 4, mwaka huu ikawa siku ya mwisho ya kukutana kwa Bunge Maalumu, linaloendelea na utunzi wa Katiba Mpya mjini Dodoma.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?

RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yachangia vurugu Bunge la Katiba

KITENDO cha Serikali kupeleka muswada wa Sheria ya kulibadilisha bunge la kutunga sheria na kuisimamia Serikali kuwa ‘Bunge Maalumu la Katiba’ la Chama Cha Mapinduzi wakiongozwa na Rais ambaye pia...

 

11 years ago

Mwananchi

Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba

Bunge Maalumu la Katiba limeomba kuongezewa muda wa siku 60 kuanzia Agosti 5, mwaka huu litakapokutana kwa ngwe ya pili, Mwananchi limebaini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba limekosa kanuni

HIVI  Watanzania tunapata muda wa kujihoji ni sababu gani zimetufanya tufike hapa tulipo? Ni kwanini wananchi wengi walidai au kuhitaji Katiba mpya ya Tanzania kwa kipindi chote hiki?  Tunajiuliza ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba tulitafakari upya

APRILI 25 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba lilihairishwa rasmi hadi mwezi Agosti kupisha Bunge la bajeti lililoanza jana. Bunge hilo lilihairishwa likiwa limetumia siku 67 kati ya 90 wanazopashwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Maajabu ya akidi Bunge Maalumu la Katiba

UKIACHILIA mbali, tabasamu lenye mashaka la baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, ukiacha na jina iliyopewa kuwa ni Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2014, Ukiacha kuzingatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani