Mafuriko ya Lowassa yatikisa mkoa ya Mara
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akipungia mkono maelfu ya wana CCM na wananchi wa Musoma, alipowasili uwanja wa ndege wa Musoma Juni 9, 2015, kuendelea na kampeni yakle ya kuomba wana CCM wamdhamini baada ya kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania nurais wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, 2015
Lowassa, (kulia), akiwatuliza wana CCM na wananchi wa Musoma, waliojaribu kuvunja geti ili walao wapate kugusana naye...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jlNmWunfZjA/VhqEleKmUkI/AAAAAAAAu84/JzqYOE6_AWg/s72-c/OTH_9010.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA MJINI MUSOMA, MKOANI MARA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-jlNmWunfZjA/VhqEleKmUkI/AAAAAAAAu84/JzqYOE6_AWg/s640/OTH_9010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1fnme1woB84/VhqEoGlfhwI/AAAAAAAAu9M/zWbXJOOxLKY/s640/OTH_9020.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-v3yQIAsWrbw/VhqEv5OpO5I/AAAAAAAAu9s/QJdOgplyzoo/s640/OTH_9106.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yy9gQh8x02M/VhqFNVdPKjI/AAAAAAAAu_c/8wHHu6WnMZg/s640/OTH_9258.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Mafuriko yatikisa Dar
MVUA zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam zimesababisha uharibufu wa miundombinu ya barabara, nguzo za umeme na mingine kuharibika, hali iliyokwamisha shughuli nyingi jana. Mvua hizo zilizonyesha usiku mzima wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s72-c/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Uhamiaji Mkoa wa Mara yapokea Kontena kutoka Barrick North Mara
![](https://1.bp.blogspot.com/-SWEbNM-m1mQ/XpVRM5yWm0I/AAAAAAALm40/1FURc384GJ0VDBTfM56J1zJnAy_w9od7ACLcBGAsYHQ/s640/85f2ecd1-1313-4f77-b867-e4105a025dcb.jpg)
Akiongea wakati akipokea kontena hilo Afisa uhamiaji Mkoa wa Mara Naibu Kamishna wa Uhamiaji DCI Albert Rwelamila aliwapongeza wakurugenzi wa Barrick North Mara...
11 years ago
MichuziMkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar atembelea eneo la mafuriko mkoani morogoro
![](http://1.bp.blogspot.com/-aQiUAz97tKU/Uu6GSSVh4KI/AAAAAAAFKZc/OEVt4B_vw2o/s1600/Pic+three+mafuriko.jpg)
9 years ago
StarTV24 Nov
Baadhi ya wananchi wakosa makazi kutokana Mafuriko Mara
Mvua kubwa imenyesha mjini Bunda mkoani Mara na kusababisha mafuriko yaliyoharibu mali za wananchi, chakula na samani za ndani.
Mvua hiyo iliyonyesha kwa zaidi ya saa moja majira ya alasiri imesababisha hasara kubwa kwa wakazi wa Mji huo, kwani baadhi ya wananchi wamekosa mahali pa kuishi kutokana na nyumba zao kujaa maji na nyingine kubomoka.
Mvua hiyo imeleta hasara kubwa katika karibu mitaa yote ya Mji wa Bunda, ambapo katika mitaa ya Kabarimu, majengo, Nyasura na mbugani mafuriko hayo...
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
‘Mafuriko’ ya Lowassa
KAMBI ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Lowassa, imejigamba kutimiza idadi ya wadhamini 879,000
Waandishi Wetu
9 years ago
Mtanzania29 Sep
Mafuriko yamzidi nguvu Lowassa
*Avunja mkutano Tanga kwa hofu watu kupoteza maisha
Fredy Azzah na Amina Omari, Tanga
WAKATI baadhi ya watu wakimshawishi kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, alisema hawezi kuzua mafuriko kwa mikono.
Lakini jana jijini Tanga mafuriko hayo (watu) yalitaka ‘kumsomba’ kutoka na maelfu ya watu kufurika katika uwanja Tangamano kwa ajili ya kumsikiliza.
Baada ya kuona watu wanazidi kuongezeka, huku wengi wakianguka na kupoteza fahamu, Lowassa alitangaza kuuvunja...
9 years ago
GPLSIRI YA MAFURIKO YA LOWASSA, MAGUFULI...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s72-c/Lowassa%2B3.jpg)
MAFURIKO YA LOWASSA YAHAMIA SIMIYU
![](http://1.bp.blogspot.com/-7MQZxzXFXvY/VXiBVsuIBUI/AAAAAAAAUu4/4RlNIRglDr0/s640/Lowassa%2B3.jpg)