OTILIA APIGWA NDOA USIKU
![](http://api.ning.com:80/files/Aaa76ACbkjIG6ixWF6uwYOVNHjxSr*4U7Yc3Fn7RhadTmaFewujtNMJ2oSUUdWQ6w-qm9aVxMrk4rKsFR4798xrY9KmFy9nA/8.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan/Risasi Mchanganyiko MNENGUAJI mkongwe wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ Otilia Boniface siku ya Wapendanao ‘Valentine’s Day’ alipigwa pingu ya maisha na mchumba wake wa muda mrefu, Ally Kinde. Mnenguaji mkongwe wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’ Otilia Boniface siku ya harusi yake. Ndoa hiyo iliyofungwa usiku nyumbani kwao Mbezi-Juu...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfAAjumKetDBeS*KK7ok*uzKAfbtzft9nubRLCkDaw*p90*Z9lGB2CUqi3KGyAwYRE9AGz1hpIqPOsxtKKMRtXsC/otilia.jpg)
OTILIA SASA KUFUNGA NDOA BOMANI
Stori: Gladness Mallya
JAPOKUWA Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface alibadili dini na kuwa Muislamu baada ya kupata mchumba ambaye ni muumini wa dini hiyo, imebainika anatarajia kufunga ndoa ya bomani kutokana na ndugu zake kutoridhika na uamuzi wake wa awali. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface Rafiki wa karibu wa Otilia aliyeomba hifadhi ya jina alisema kuwa, mnenguaji huyo aliyepata mchumba...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF9dCL4S-ZlGZhFPO-kSzlqYMr6RTH5eu8oKCQ9LGWu1dyH7wV7E42F6I7p6Xk0M8W3ss6VU9x*4bBkiBHfK-bw/shamsha.jpg?width=650)
SHAMSA APIGWA NDOA YA KIMILA
Stori: Gladyness Mallya
WAKATI wadau wa filamu za Kibongo wakisubiri kwa hamu kushuhudia ndoa ya staa wao, Shamsa Ford imebainika kwamba msanii huyo ameshapigwa ndoa ya kimyakimya na mchumba wake wa muda mrefu ambaye pia ni mzazi mwenzake, Dickson ‘Dick’. Kwa mujibu wa chanzo makini, wawili hao wanadaiwa kufunga ndoa ya kimila nyumbani kwa mwanaume huyo, Tarime mkoani Mara wiki kadhaa zilizopita. “Shamsa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gDF3S0THO9zymdIAt-u2-xGyZqiAdgH8NasVhlGvmxrkjhlOTn8SR4wtEFSEVQ9GqPwMSubfORqVxkD43EDKQsvMb4WpI61K/otilia.jpg)
OTILIA ALIA NA CHOCKY
GLADNESS MALLYA/Amani MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface amemlilia mkurugenzi wake, Ali Chocky kutokana na kitendo cha kusambaratisha bendi bila kuwataarifu. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface. Akizungumza kwa uchungu na Centre Spread, Otilia alisema hivi karibuni aliumia sana kufuatia kitendo cha Chocky kuchukua vyombo vyake vya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH3Syy1ULw8w*cxJ9OthVyUwzeykpiQ5Z*78VYAOR3tL0wRc0sD9*k6TYw9OFh9Bvb7HYX3UV0dUvSsA4INZTNIY/2otilia.jpg?width=650)
OTILIA APATA PIGO
Stori:Â Gladness Mallya
MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface amepata pigo baada ya kufiwa na mamamkwe wake aliyejulikana kwa jina la Khadija Salum. Otilia Boniface. Akizungumza kwa masikitiko, Otilia alisema ameumizwa na kifo cha mama huyo kwani aliugua na kupona lakini kilichosababisha kifo chake ni ajali ambapo aligongwa na gari maeneo ya Magomeni, Dar hivi karibuni akapasuka kichwa na kufa papo hapo akiwa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vJSFiOyZSXXuFi-pcwLHF3*G8pnUtw9K9fYQEUyE8SWTmFxvrqyK4lm9QcvgX3RDGC0K4Oz4XDQuqqklD0Qg70F6gNIlaQYM/otlia.jpg?width=650)
OTILIA LIVE NA ALLY YANGA
Richard Bukos, aliyekuwa Geita KATIKA hali iliyoashiria usaliti, Jumapili iliyopita msanii wa Bendi ya ToT, Otilia Boniface alinaswa ‘live’ na shabiki maarufu wa Yanga aitwaye Ally Said ‘Ally Yanga’ wakibusiana. Katika tukio hilo wawili hao walinaswa kwenye Viwanja vya Chato, mkoani Geita wakifanya usaliti huo huku Otilia na njemba huyo wakidaiwa kuziacha familia zao jijini Dar.Wakiwa kwenye starehe zao, paparazi wetu...
11 years ago
Bongo507 Aug
Video: Akon adai ndoa ya Jay Z na Beyonce ni ya biashara, The Carters wakaa kwenye hoteli ya tshs mil.50 kwa usiku 1
Wakati ambapo tetesi za kukaribia kuvunjika kwa ndoa ya Jay Z na Beyonce zikiendelea kushika kasi, msanii mwenzao, Akon amezungumza anachokiona kuhusiana na uhusiano wa mastaa hao. “Uhusiano wao umekuwa wa kibiashara katika ulimwengu wa nje kuliko uhusiano wa kawaida,” Akon alimwambia mwandishi wa TMZ aliyemuuliza anauonaje uhusiano wa Jay na Bey. “Ukiwa mtu unayejulikana […]
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TiGlW1XckRbRog78kShNuFvg6v*KMqFPMeguYPmXUvPBWNGvTBk48uyoEtFx847XFldTWGISzH5wXWX0bS*qxDIoa*BVxTpX/NetherlandsvsArgentina2014.jpg?width=650)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRlk8yqtM5mv04011z8c4fiuiNjinx*LAGcYhCBkygaMQLH8M22ItgF8MPL5tdn4oF1tob3Tg66iEEC8TJBOaIA8/article26573901EBF352B00000578670_636x382.jpg?width=650)
KOMBE LA DUNIA: USIKU WA WANAUME, ENGLAND NA ITALY SAA SABA USIKU
AADA ya Fainali za Kombe la Dunia kuanza juzi kwa mchezo kati ya Brazil na Croatia, leo kuna mechi nyingine kali kati ya England na Italia. Huu ni mchezo ambao mashabiki wa soka wanausubiri kwa hamu kubwa wakiamini pia utatumika kutoa majibu halisi ya fainali hizo zinazofanyika nchini Brazil.
England na Italia ni nchi ambazo ligi zake ni maarufu sana, huku zikiwa zinafuatiliwa kwa karibu sana na mashabiki wa soka duniani kote. ...
11 years ago
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania