Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


OTILIA ALIA NA CHOCKY

GLADNESS MALLYA/Amani MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface  amemlilia mkurugenzi wake, Ali Chocky kutokana na kitendo cha kusambaratisha bendi bila kuwataarifu. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo,’ Otilia Boniface. Akizungumza kwa uchungu na Centre Spread, Otilia alisema hivi karibuni aliumia sana kufuatia kitendo cha Chocky kuchukua vyombo vyake vya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Hongera Alli Chocky na Asha Baraka

Kwa wapenzi wa muziki nchini jina la Alli Chocky si geni masikioni mwa wengi. Chocky ameweza kudumu katika muziki wa dansi kwa muda mrefu akiwa katika bendi mbalimbali ikiwamo Twanga Pepeta.

 

11 years ago

GPL

OTILIA APATA PIGO

Stori:  Gladness Mallya
MNENGUAJI wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface amepata pigo baada ya kufiwa na mamamkwe wake aliyejulikana kwa jina la Khadija Salum. Otilia Boniface. Akizungumza kwa masikitiko, Otilia alisema ameumizwa na kifo cha mama huyo kwani aliugua na kupona lakini kilichosababisha kifo chake ni ajali ambapo aligongwa na gari maeneo ya Magomeni, Dar hivi karibuni akapasuka kichwa na kufa papo hapo akiwa...

 

10 years ago

GPL

OTILIA APIGWA NDOA USIKU

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan/Risasi Mchanganyiko
MNENGUAJI mkongwe wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’  Otilia Boniface siku ya Wapendanao ‘Valentine’s Day’ alipigwa pingu ya maisha na mchumba wake wa muda mrefu, Ally Kinde. Mnenguaji mkongwe wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’  Otilia Boniface siku ya harusi yake. Ndoa hiyo iliyofungwa usiku nyumbani kwao Mbezi-Juu...

 

9 years ago

GPL

OTILIA LIVE NA ALLY YANGA

Richard Bukos, aliyekuwa Geita KATIKA hali iliyoashiria usaliti, Jumapili iliyopita msanii wa Bendi ya ToT, Otilia Boniface alinaswa ‘live’ na shabiki maarufu wa Yanga aitwaye Ally Said ‘Ally Yanga’ wakibusiana. Katika tukio hilo wawili hao walinaswa kwenye Viwanja vya Chato, mkoani Geita wakifanya usaliti huo huku Otilia na njemba huyo wakidaiwa kuziacha familia zao jijini Dar.Wakiwa kwenye starehe zao, paparazi wetu...

 

10 years ago

GPL

CHOCKY, NYAMWELA WAREJEA ‘TWANGA’ KWA MBWEMBWE, CHEREKO

Ali Chocky (katikati) akiwa na waimbaji wenzake, Luiza Mbutu (kulia), na Kalala Junior baada ya kutambulishwa. Wanamuziki wa ‘Twanga’ wakiongozwa na Kalala Junior (kushoto) wakiwa na begi ambalo ndani yake alikuwemo mnenguaji Super Nyamwela kama moja ya staili ya kutambulishwa. Baadhi ya wanenguaji wa bendi hiyo wakifungua begi hilo tayari… ...

 

11 years ago

GPL

OTILIA SASA KUFUNGA NDOA BOMANI

Stori: Gladness Mallya
JAPOKUWA Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface alibadili dini na kuwa Muislamu baada ya kupata mchumba ambaye ni muumini wa dini hiyo, imebainika anatarajia kufunga ndoa ya bomani kutokana na ndugu zake kutoridhika na uamuzi wake wa awali. Mnenguaji wa Bendi ya Extra Bongo, Otilia Boniface Rafiki wa karibu wa Otilia aliyeomba hifadhi ya jina alisema kuwa, mnenguaji huyo aliyepata mchumba...

 

11 years ago

GPL

FLORA ALIA NA VIBAKA

STAA wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi  ameeleza masikitiko yake baada ya kuibiwa na vibaka. Kioo kilichovunjwa pamoja na sehemu zilizoibiwa vitu kwenye gari hilo. Akizungumza na paparazi wetu, Flora alisema siku ya tukio mumewe H. Baba alitoka na gari lake aina ya Toyota I.S.T kwenda mtaa wa Lumumba-Kariakoo, akapaki na kuingia kwenye mizunguko yake lakini aliporejea alishtuka baada ya kukuta kioo kimevunjwa na vitu...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa Chadema alia

>Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.

 

9 years ago

Mtanzania

Samia alia na alama ‘V’

IMG_0273 (1280x853)NA SARAH MOSSI, KOROGWE

 

MGOMBEA mwenza wa CCM, Samia Suluhu Hassan amesema alama ya ‘V’ haijawahi kushika dola duniani kote.

Samia, alisema hayo jana  alipokuwa akizungumza na wananchi katika eneo la Mombo akiwa njiani kuelekea wilayani Lushoto.

“Sasa hivi vurugu tupu, utawala wa nchi si wa kujaribu, wapeni wenye uthabiti, waliosimama imara na  uwezo ndugu zangu, sumu haionjwi,”alisema Samia.

Mapema akiwahutubia wananchi wa Korogwe mjini katika viwanja vya Shule ya Msingi Mazoezi, Samia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani