SHAMSA: NDOA TUNASUBIRI MIPANGO YA MUNGU
Msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford. Ni wiki nyingine tena mpenzi msomaji tunakutana katika safu hii ya maswali kumi na leo tunakuletea msanii wa filamu Bongo, Shamsa Ford ambaye alibanwa kwa maswali na mwandishi wetu Gladness Mallya. Ijumaa: Ni muda mrefu tangu tuliposikia habari za uchumba wako na Dickson, mbona mambo ya ndoa kimya? Shamsa: Kwa wasiojua ni kwamba, tulishafunga ndoa ya kimila, ile ya kanisani ndiyo bado,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s72-c/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
"Muumbaji wa ndoa ni Mungu peke yake............Hakuna mwalimu wa ndoa hapa duniani" - Tumaini Kilangwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-I26kTZuhyY0/VdpU44XREXI/AAAAAAAADKw/t1zw5lxJF2g/s640/2015-08-22%2B12.59.00.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljwhEuUjKvMVAp-iRjHxfFUg3Yu4XyzHnPUlJj9qp-Zp2vqihlA4-VZVI7GnBuYbWy9B1bS5swaiUNFBbzbbkGMv/ndoacopy.jpg?width=650)
NDOA YA SHAMSA YAVUNJIKA!
10 years ago
Bongo Movies21 May
Dude, Mtitu Nitakufa kwa Mipango ya Mungu-Steve Nyerere
Naomba kumshukulu mungu kwa kila jambo yehova wewe ndio kimbilio langu. Pili kwa masikitiko makubwa nasema watashindana ila awata shinda .niongee kidogo kwa kifupi mara kwa mara nimekuwa nazalilishwa na najiuliza tatizo nini nagundua nyota .
Maishani kila binadamu mungu kampa fulsa yake so ukubali ukatae ndio hivo. Nilipigiwa simu na Mrs Adam kuambiana yani mke wa marehemu kama rafiki ndugu na msanii mwenzake kuwa anajenga kaburi la marehemu Kuambiana.
Nikajiuliza, kwa nini ajenge yeye...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF9dCL4S-ZlGZhFPO-kSzlqYMr6RTH5eu8oKCQ9LGWu1dyH7wV7E42F6I7p6Xk0M8W3ss6VU9x*4bBkiBHfK-bw/shamsha.jpg?width=650)
SHAMSA APIGWA NDOA YA KIMILA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLacFduaa7AUhDAgYoqKc165wEJayHYN16KweE6hitNcETSdkyFjGeurhEI8sr4FCA1ybQCIyi9CowapetAb-z-MH/Nay.jpg?width=650)
NAY AFUNGUKIA NDOA NA SHAMSA
10 years ago
Bongo Movies05 Feb
Uwoya Asema yupo SERIOUS kuhusu mipango ya ndoa na Jaguar
Mwanadada Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.
Akizungumza na Mpekuzi, Irene amesema mahusiano yake na Jaguar yapo japo hajafanya maamuzi ya kuolewa.
“Jaguar hakuja kuna vitu ambavyo vilitokea vikasababisha asije,”amesema mrembo huyo.
“Kila siku naongea naye na uamuzi wake upo pale pale. Mimi mwenyewe bado sijafanya maamuzi ya kusema niolewe lakini akija ndo tutaongea kila...
10 years ago
GPL12 Mar
10 years ago
Bongo526 Nov
Jaguar kutua TZ kwajili ya Uwoya, Irene adai anakuja kufanya mipango ya ndoa yao
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...