Uwoya Asema yupo SERIOUS kuhusu mipango ya ndoa na Jaguar
Mwanadada Irene Uwoya amesema ingawa Jaguar alishindwa kuja kuzungumza na wazazi wake kuhusu ndoa yao, bado wanawasiliana vizuri na kila kitu kipo sawa.
Akizungumza na Mpekuzi, Irene amesema mahusiano yake na Jaguar yapo japo hajafanya maamuzi ya kuolewa.
“Jaguar hakuja kuna vitu ambavyo vilitokea vikasababisha asije,”amesema mrembo huyo.
“Kila siku naongea naye na uamuzi wake upo pale pale. Mimi mwenyewe bado sijafanya maamuzi ya kusema niolewe lakini akija ndo tutaongea kila...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo526 Nov
Jaguar kutua TZ kwajili ya Uwoya, Irene adai anakuja kufanya mipango ya ndoa yao
10 years ago
VijimamboUwoya Apata Ujauzito:Yasemekana Ni Ya Msanii Milionea Jaguar Toka Kenya.
Grapevine has it that, actress Irene Uwoya is pregnant for her second child and the man behind it is non other than Kenyan artist Jaguar. "Uwoya is pregnant of Jaguar, she wants to have more kids, they love one another truly, next week she might be in Kenya to visit her man" said the sourceSWP failed to reach Uwoya, however, through her Instagram account the actress posted something which matches with what the source said. Uwoya posted the photo below touching her stomach and asked her fans...
10 years ago
Bongo504 Feb
Irene Uwoya adai yupo njia panda kuachia filamu yake mpya ‘Kisoda’
11 years ago
Bongo Movies21 Jun
Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao
Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya.
Akiongea na tovuti ya Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka kutoa maelezo kuhusu ukweli wa mambo kati ya wawili hao lakini kwa mara ya kwanza aliamua kuiambia tovuti ya Times Fm kauli yake kutokana na jinsi alivyoulizwa.
“Kaongea kwa upole huyu jamaa, kaapproach ili apate jibu. Ni kweli (kicheko)…nimekuridhisha lakini, nimeamua kukuridhisha.”...
10 years ago
BBCSwahili17 Apr
Hussein Machozi asema bado yupo hai
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/7TcBzbi1eXrxYlRDPwAfv-dpFZWv8jaY8TnX*FusTNmHBa9zmfu0YEunnRJfnylDVnajmi3sMTBkO0w3qZCPfae*TxwTuBUD/BabyJ.jpg)
BABY J YUPO KWENYE NDOA MIAKA 2 BILA MTOTO!
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-zNXr_3Q7MCk/VL9XGfZd6WI/AAAAAAAAm4o/_wyVOV8w0gY/s72-c/8.jpg)
Kajala Asema Yupo Tayari Kugharamia Harusi ya Wolper na Manaiki
![](http://4.bp.blogspot.com/-zNXr_3Q7MCk/VL9XGfZd6WI/AAAAAAAAm4o/_wyVOV8w0gY/s640/8.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-fY0YE5sttPI/VL9XcUyHenI/AAAAAAAAm4w/tRsL3Lsjf68/s640/wolper%2Bna%2Bmanaiki%2Bsanga.jpg)
10 years ago
Bongo Movies21 Jan
Kajala Asema Yupo Tayari Kugharamia Harusi ya Wolper na Manaiki
UBUYU: Mrembo na mwigizaji anayefanya vizuri kunako soko la filamu za Kibongo, Kajala Masanja ‘Kay’ ameweka wazi kuwa yuko tayari kugharamia sherehe ya harusi ya Manaiki Sanga na Jacqueline Wolper Massawe kama mambo yataenda sawa.
Akizungumzia swala la mwigizaji na rafiki yake Jackline Wolper kuchumbiwa na msanii Manaiki Sanga,Kajala alisema kutokana na ukaribu alionao kwa watu hao basi mambo yote yanayohusiana na sherehe yatakuwa chini yake kwa maana ya gharama zote na kikubwa ni kuwaombea...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa …
Kocha wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Louis van Gaal January 2 amerudi kwenye headlines na hii, japokuwa haikutegemewa na wengi, kuona kocha wa sasa wa Man United ambaye amekuwa akiandikwa katika headlines za soka juu ya hatma yake ndani ya Man United. Moja kati ya vitu vinavyoshangaza wengi ni juu ya kocha huyo […]
The post Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa … appeared first on TZA_MillardAyo.