Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda
Shughuli za mazishi ya Mtoto wa miaka miwili aliyegongwa na gari ya mamlaka ya mji wa Kampala zimefanyika nchini Uganda
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Jul
Aliyekufa na mganga wa jadi shimoni azikwa humohumo
KIKOSI cha uokoaji kimeshindwa kuupata mwili wa Zuberi Kaima (45) ambaye yeye pamoja na mganga wa jadi, Sophiani Khamis (60) walisadikiwa kufa kwa kukosa hewa kwenye shimo walilokuwa wakichimba dhahabu.
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Baba wa mtoto aliyekufa akataa hifadhi
Baba wa mtoto kutoka nchini Syria ambaye alikufa maji wiki hii amekataa hatua ya Canada ya kumpa makao.
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Mtoto aliyekufa afanyiwa ibada Canada
Ibada ya makumbusho imefanyika nchini Canada ya mtoto wa umri wa miaka mitatu kutoka Syria ambaye alikufa katika ufuo wa Uturuki
11 years ago
Michuzi10 Jun
WATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX KIZIMBANI MOROGORO
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/_v_ybbOJuqsZuGyD5J75QEaOxLEsJggvBprfseaS8J97tbUxP33LqceD85magn3ngYciVc1zJBS400l8VvF3CXnuDbbVuJa0DfFusIYXIAuqRmZeqooStdTSyqOiBdd4kGSPEs8KYuThYTQvaLcjmjWDDITzXuJFwUO2WC83erumJtyMRST4tKLcgk3xeFjYv8XvRAPqqR-T8mNpQlsEJodf1PToOsN-2Z9hpBE1Ut6DUKtRW2Z_sDMnNp-JW8dgNecp9XqYIA2Zg8EPqnxHFST70Ckewom1Bmwyw2RiuURjYadwpqPWY_6zPpAFgkZnT_Mq-uB-trtK=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F1.bp.blogspot.com%2F-3kqMxdF8TsM%2FU5W2J6iAZhI%2FAAAAAAAAHv8%2FKrgHpGJgjPM%2Fs1600%2F1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/lYZum38vfAY4-k1RiTTdAlBy_MMRqwZX7jkBE-B-yTzwvW_5iH8wlfxRFF-nJO3tfE1W-fNPo2UusWIxADddoccSpb3-9AIeZhQhkn17KbyAijNb-pz-rdJLr2WOdOTjpQ15mvaaAVS45DBbAk1hrE_PO1y0BH-DadNpH0oGvvwWjrSiJK1RM2IeLKsR8bDCXj5qAEDLFppITdNelnviXzQpS-T8YeJ9N9a-dKVuby5uOoAmyRnFa11QHHE_OSZkdq0WCB1NXxIaDLcsDrxf5i0uCMAhPVgLHxrxvrvkERICy4RvyNS7HrLZhgTQ2cP63AH1VG-HBirz=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F4.bp.blogspot.com%2F-tQhKDDOz0OU%2FU5W2InuH9LI%2FAAAAAAAAHvw%2FIlFNksb84Xo%2Fs1600%2F2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIF7nj7T40MA4zRKCEYvIwlltgSUhKpOF-hErwovEMkk-IR7MEiMKzs66R6rJ*BnZ6lmBiQ3B1ErCxlk94ZU8nnU/MtotoSadamakiwaamejerehuliwamikononi.jpg?width=650)
MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR
Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…
10 years ago
Mwananchi04 Feb
Idi Amin Dada mtoto wa ‘sangoma’ aliyeitawala Uganda kwa mtutu
Februari 2, 1971 Uganda ilipata Rais wa kwanza aliyeingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi. Huyo alikuwa ni Idi Amin Dada. Aliitawala nchi hiyo kwa miaka minane mfululizo mpaka alipoondolewa na majeshi ya Tanzania chini ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere.
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Mtoto Nasra azikwa kishujaa
>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EFRV*I*wRwJPaxQ43zv*u8PCj6Qv0Sj14YbEnHhBscx1s2s-t8v7Qnjl2wa47VkDcRr4RiDi4gJAjex5jW3U5gKhg5dhPS24/f.jpg?width=650)
MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA
Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...
9 years ago
BBCSwahili04 Sep
Mtoto aliyeopolewa baharini azikwa Syria
Miili ya mtoto wa Syria Allan Kurdi na jamaa ya familia yake imezikwa Kobane nchini Syria baada ya kusafirishwa kutoka Uturuki
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania