Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda

Shughuli za mazishi ya Mtoto wa miaka miwili aliyegongwa na gari ya mamlaka ya mji wa Kampala zimefanyika nchini Uganda

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Aliyekufa na mganga wa jadi shimoni azikwa humohumo

KIKOSI cha uokoaji kimeshindwa kuupata mwili wa Zuberi Kaima (45) ambaye yeye pamoja na mganga wa jadi, Sophiani Khamis (60) walisadikiwa kufa kwa kukosa hewa kwenye shimo walilokuwa wakichimba dhahabu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Baba wa mtoto aliyekufa akataa hifadhi

Baba wa mtoto kutoka nchini Syria ambaye alikufa maji wiki hii amekataa hatua ya Canada ya kumpa makao.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyekufa afanyiwa ibada Canada

Ibada ya makumbusho imefanyika nchini Canada ya mtoto wa umri wa miaka mitatu kutoka Syria ambaye alikufa katika ufuo wa Uturuki

 

11 years ago

Michuzi

WATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX KIZIMBANI MOROGORO

Difenda iliyobeba watuhumiwa wa kesi ya mtoto wa boksi, Hayati Nasra Rashid,  ikiwasili Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro. Watuhumiwa watatu akiwemo baba yake mzazi wa Nasra, Rashid Mvungi, mama mkubwa wa Nasra, Mariam Saidi na Mume wa mama Mariam Said walifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro kujibu tuhuma za mashtaka ya kula njama na kumtesa Nasra Rashidi (4) wakati wa uhai wake.  Baba mlezi wa mtoto Nasra, Mtonga Omari akishuka kwenye gari la polisi kwa staili ya...

 

11 years ago

GPL

MTOTO ANUSURIKA KUFA KWA AJALI TABATA-DAR

Mtoto Sadam akiwa amejeruhiwa mikononi baada ya kugongwa na gari aina ya Toyota Carry eneo la Tabata West Mtoto Sadam akionekana baada ya kunusurika na ajali hiyo…

 

10 years ago

Mwananchi

Idi Amin Dada mtoto wa ‘sangoma’ aliyeitawala Uganda kwa mtutu

Februari 2, 1971 Uganda ilipata Rais wa kwanza aliyeingia madarakani kwa mapinduzi ya kijeshi. Huyo alikuwa ni Idi Amin Dada. Aliitawala nchi hiyo kwa miaka minane mfululizo mpaka alipoondolewa na majeshi ya Tanzania chini ya uongozi wa Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtoto Nasra azikwa kishujaa

>Mtoto huyo aliyefariki akiwa na umri wa miaka minne, alifariki Juni Mosi kwenye Hospitali ya Muhimbili kutokana na maradhi ya homa ya mapafu. Aliishi kwenye boksi tangu alipokuwa na umri wa miezi tisa.

 

10 years ago

GPL

MTOTO ALIYENUSURIKA KWA MKONO WA MUNGU! AJALI YA KONTENA MAFINGA

Na Mwandishi Wetu, Iringa
BADO Mji wa Mafinga wilayani Mufindi mkoani hapa haujakaa sawa kufuatia vifo vya watu 50 waliopoteza maisha kwa ajali ya kontena kudondokea Basi la Majinja lenye namba za usajili T 438 CED iliyotokea Machi 11, 2015, Uwazi limechimba. Mtoto aliyenusurika kwenye ajali. Ajali hiyo ilitokea maeneo ya Changarawe mjini Mafinga ambapo kontena hilo lilikuwa kwenye lori la mizigo la Scania lenye namba za...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mtoto aliyeopolewa baharini azikwa Syria

Miili ya mtoto wa Syria Allan Kurdi na jamaa ya familia yake imezikwa Kobane nchini Syria baada ya kusafirishwa kutoka Uturuki

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani