WATUHUMIWA WA MTOTO ALIYEKUFA KUTOKA KWENYE BOX KIZIMBANI MOROGORO
Difenda iliyobeba watuhumiwa wa kesi ya mtoto wa boksi, Hayati Nasra Rashid, ikiwasili Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro. Watuhumiwa watatu akiwemo baba yake mzazi wa Nasra, Rashid Mvungi, mama mkubwa wa Nasra, Mariam Saidi na Mume wa mama Mariam Said walifikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Morogoro kujibu tuhuma za mashtaka ya kula njama na kumtesa Nasra Rashidi (4) wakati wa uhai wake.
Baba mlezi wa mtoto Nasra, Mtonga Omari akishuka kwenye
gari la polisi kwa staili ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 May
Baba, walezi mtoto wa Morogoro kizimbani
BABA mzazi pamoja na walezi wa mtoto anayedaiwa kufichwa kwenye boksi kwa takribani miaka mitatu, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mjini Morogoro na kusomewa mashitaka ya kula njama na kufanya ukatili dhidi ya mtoto huyo.
11 years ago
Dewji Blog01 Jun
MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne afariki Dunia
MTOTO Nasra aliyekuwa akiishi kwenye box kwa miaka minne akidaiwa kuteswa na mama yake mkubwa baada ya mama yake kufariki, huku akikosa uangalizi wa karibu, chakula, tiba na huduma nyingine muhimu AFARIKI DUNIA katika Hospitali ya Taifa MUHIMBILI usiku wa kuamkia leo majira ya saa saba, tatizo ni Nimonia na homa ilipanda sana.
R.I.P NASRA wewe mbele sisi nyuma tutakufuata, Tulikupenda lakini Mungu amekupenda zaidi.
9 years ago
BBCSwahili05 Sep
Baba wa mtoto aliyekufa akataa hifadhi
9 years ago
BBCSwahili06 Sep
Mtoto aliyekufa afanyiwa ibada Canada
10 years ago
BBCSwahili21 Nov
Mtoto aliyekufa kwa ajali azikwa Uganda
11 years ago
CloudsFM29 May
YULE MTOTO ALIYEFUNGIWA KWENYE BOKSI MOROGORO HUYU HAPA AKIWA KATIKA HOSPITALI YA MUHIMBILI
Mtoto aliyekuwa amefichwa kwenye boksi mkoani Morogoro, Nasra Mvungi ambaye alikuwa amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Morogoro, amehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), kwa uchunguzi zaidi.
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Morogoro, Dk Godfrey Mtei alisema Nasra alipelekwa Muhimbili juzi usiku baada ya hali yake kutoridhisha.
Alisema afya ya Nasra ilibadilika ghafla juzi asubuhi na kushindwa kupumua vizuri, jambo lililowalazimu madaktari kumpeleka Muhimbili kwa gari maalumu la wagonjwa...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Watuhumiwa wa Stakishari wapanda kizimbani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJd9w3C1Zd0w1gd-byvnAkboPRX1nbGzdKe*YRG47q8PiUUyqY9GT01D5f-5bMfeyGwmS0npQQKRm-ZXP2xZUP24/breakingnews.gif)
WATUHUMIWA PEMBE ZA NDOVU KIZIMBANI
11 years ago
Mwananchi09 Jul
KESI: Watuhumiwa wa mauaji ya Mtawa kizimbani