MTOTO WA MWALIMU NYERERE AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgaSMjILj*l0QYLFe9j9MBVbCuEtHGyP*totTEx9vUmt*mku9lN8lLYt4t8sVjQuSitS9Xp3eSDcx6n0bHihl4uc/JOHN.jpg)
John Nyerere (katikati) enzi za uhai wake. MTOTO wa nne wa Mwalimu J.K Nyerere, John Nyerere amefariki dunia jana akiwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam alipokuwa amelazwa. Marehemu John alizaliwa mwaka 1957 jijini Dar es Salaam na enzi za uhai wake alikuwa kapteni wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) akiwa rubani wa kurusha ndege za kivita. Kwa mujibu wa mmoja wa wanafamilia ni kwamba marehemu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s72-c/1.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AZIKWA LEO BUTIAMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-a50MwCWYlXU/VVN6ULaaH1I/AAAAAAAAbsA/_Pf1wO3-Xo8/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-STOQIrWW5uo/VVN6WRYF8wI/AAAAAAAAbsM/MQvVTseQoDk/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1M6iZynaMHE/VVN6WZCFfII/AAAAAAAAbsI/qg2q-a8X8mE/s640/3.jpg)
11 years ago
Michuzi09 Jul
11 years ago
Mwananchi04 May
Mtoto anajisiwa, afariki dunia
10 years ago
GPLMTOTO WA MACHO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MTOTO SALUMU AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0qPSoIsCXDQrVlZvsrRVwA-mGnouPQCOuXqbfa14KazJogqSfgC-WkfbjQBdUHlu5WicQsUL3mblsoUCkDLGsG/wemacopy.jpg?width=650)
MTOTO AFANYIWA BETHIDEI, AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Mtoto wa Raila Odinga afariki dunia
NAIROBI KENYA
MTOTO mkubwa wa kiume wa kiongozi wa upinzani wa Muungano wa Cord, Raila Odinga amefariki dunia jana asubuhi katika mazingira yasiyoeleweka.
Mtoto huyo, Fidel Odinga, alikutwa kitandani nyumbani kwake huko Windy Ridge, Karen baada ya kuutumia usiku wa jana na marafiki zake.
Mwili wa mfanyabiashara huyo, ambaye pia ni mwanasiasa kijana ulitarajiwa kupelekwa katika nyumba ya mazishi ya Lee Funeral Home.
Odinga, ambaye yuko eneo la tukio, alithibitisha kifo cha mwanae na kwamba...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s72-c/mtoto+px.png)
mtoto nasra rashid afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s1600/mtoto+px.png)