MTOTO SALUMU AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Marehemu Salum Kassim enzi za uhai wake. Muonekano wa uvimbe wa tumbo aliokuwa nao Salum Kassim kabla ajafariki. Mtoto Salum Kassim (16), mkazi wa Kilimahewa-Tandika, Dar, ambaye ameteseka kwa muda wa miaka minne (siku 1440) akisumbuliwa na ugonjwa wa moyo…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLMTOTO WA MACHO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
11 years ago
Mwananchi04 May
Mtoto anajisiwa, afariki dunia
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Mtoto wa Raila Odinga afariki dunia
NAIROBI KENYA
MTOTO mkubwa wa kiume wa kiongozi wa upinzani wa Muungano wa Cord, Raila Odinga amefariki dunia jana asubuhi katika mazingira yasiyoeleweka.
Mtoto huyo, Fidel Odinga, alikutwa kitandani nyumbani kwake huko Windy Ridge, Karen baada ya kuutumia usiku wa jana na marafiki zake.
Mwili wa mfanyabiashara huyo, ambaye pia ni mwanasiasa kijana ulitarajiwa kupelekwa katika nyumba ya mazishi ya Lee Funeral Home.
Odinga, ambaye yuko eneo la tukio, alithibitisha kifo cha mwanae na kwamba...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0qPSoIsCXDQrVlZvsrRVwA-mGnouPQCOuXqbfa14KazJogqSfgC-WkfbjQBdUHlu5WicQsUL3mblsoUCkDLGsG/wemacopy.jpg?width=650)
MTOTO AFANYIWA BETHIDEI, AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgaSMjILj*l0QYLFe9j9MBVbCuEtHGyP*totTEx9vUmt*mku9lN8lLYt4t8sVjQuSitS9Xp3eSDcx6n0bHihl4uc/JOHN.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AFARIKI DUNIA
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s72-c/mtoto+px.png)
mtoto nasra rashid afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s1600/mtoto+px.png)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wm92B82SWdg/VKkYQTYtGEI/AAAAAAAG7Ik/c7gsRPTqzdQ/s72-c/B6fz4cdCIAAx9lG.jpg)
mtoto wa Raila Odinga afariki Dunia leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wm92B82SWdg/VKkYQTYtGEI/AAAAAAAG7Ik/c7gsRPTqzdQ/s1600/B6fz4cdCIAAx9lG.jpg)
Taarifa za awali zilieleza kuwa, Fidel alitoka nyumbani kwake jana usiku kwa lengo la kujumuika na marafiki zake kwa matembezi na burudani za mwisho wa wiki na alirejea nyumbani kwake alfajiri ya leo na haijulikani ni nini kilichosababisha kifo chake.
Maafisa wa Jeshi la Polisi nchini Kenya,wameanzisha uchunguzi kuhusiana na...
11 years ago
GPLYULE MTOTO ALIYETESEKA AFARIKI DUNIA GHAFLA