MTOTO AFANYIWA BETHIDEI, AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com:80/files/vnQhPUwEod0qPSoIsCXDQrVlZvsrRVwA-mGnouPQCOuXqbfa14KazJogqSfgC-WkfbjQBdUHlu5WicQsUL3mblsoUCkDLGsG/wemacopy.jpg?width=650)
Dustan Shekidele, Moro Inauma sana! Mtoto mzuri wa kiume aitwaye Jumanne Mwinyimbegu, mwenye umri wa mwaka mmoja amefariki dunia ghafla muda mfupi baada ya kufanyiwa sherehe ya kutimiza mwaka mmoja ‘bethidei’. Tukio hilo la kusikitisha lilijiri nyumbani kwa wazazi wa Jumanne Mtaa wa Saadan Kata ya Mwembesongo mkoani hapa mwishoni mwa wiki iliyopita na kuibua simanzi nzito kwa kuwa alikuwa haumwi na ilikuwa muda...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MTOTO SALUMU AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPLMTOTO WA MACHO AFARIKI DUNIA
11 years ago
Mwananchi04 May
Mtoto anajisiwa, afariki dunia
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3ZSopUVDgaSMjILj*l0QYLFe9j9MBVbCuEtHGyP*totTEx9vUmt*mku9lN8lLYt4t8sVjQuSitS9Xp3eSDcx6n0bHihl4uc/JOHN.jpg)
MTOTO WA MWALIMU NYERERE AFARIKI DUNIA
10 years ago
Mtanzania05 Jan
Mtoto wa Raila Odinga afariki dunia
NAIROBI KENYA
MTOTO mkubwa wa kiume wa kiongozi wa upinzani wa Muungano wa Cord, Raila Odinga amefariki dunia jana asubuhi katika mazingira yasiyoeleweka.
Mtoto huyo, Fidel Odinga, alikutwa kitandani nyumbani kwake huko Windy Ridge, Karen baada ya kuutumia usiku wa jana na marafiki zake.
Mwili wa mfanyabiashara huyo, ambaye pia ni mwanasiasa kijana ulitarajiwa kupelekwa katika nyumba ya mazishi ya Lee Funeral Home.
Odinga, ambaye yuko eneo la tukio, alithibitisha kifo cha mwanae na kwamba...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s72-c/mtoto+px.png)
mtoto nasra rashid afariki dunia
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8EHkdRuml0/U4tf3gsi4DI/AAAAAAAFnCU/005VK6Nrp-A/s1600/mtoto+px.png)
11 years ago
GPLYULE MTOTO ALIYETESEKA AFARIKI DUNIA GHAFLA
11 years ago
Mwananchi24 Jan
Mtoto aliyepigwa na babake na kulazwa afariki dunia