Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mallah kuzikwa Jumatano Moshi

MWILI wa a l i y e k u w a m g o m b e a ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia ACT- Wazalendo, Estomih Mallah unatarajiwa kuwasili siku ya Jumanne nyumbani kwake eneo la Suye Kimandolu jijini Arusha kwa ajili ya kuagwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

TAARIFA RASMI KWA UMMA YA KIFO CHA MKUU WA WILAYA YA KALAMBO MHE. MOSHI CHANG'A, KUZIKWA JUMATANO MKOANI IRINGA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA WAZIRI MKUU

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA


MKOA WA RUKWA

Anuani ya simu:”REGCOM”                          Simu Na:(025)-2802138/2802144 Fax Na. (025) 2802217

Baruapepe: rasrukwa@yahoo.com

             OFISI YA MKUU WA MKOA,

     S.L.P. 128,

     SUMBAWANGA.




Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Eng. Stella M. Manyanya (Mb) kwa masikitiko makubwa anapenda kuwajulisha juu msiba mkubwa ulioukumba Mkoa wetu wa Rukwa wa kuondokewa na Mkuu wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Mallah wa ACT kuzikwa Sango

Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge wa ACT - Wazalendo Jimbo la Arusha Mjini, Estomih Mallah unatarajiwa kuzikwa Jumatano ijayo kijijini kwao Sango, mkoani Kilimanjaro.

 

9 years ago

TheCitizen

ACT Wazalendo’s Estomih Mallah dies in Moshi

ACT-Wazalendo parliamentary candidate in Arusha Urban, Estomih Mallah passes away early today at the Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC).

 

10 years ago

Dewji Blog

Mama wa wanahabari kuzikwa Jumatano Mbeya

Marehemu-Bi.-Twitikege-Mlagha-Mafumu-enzi-za-uhai-wake.

Marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu enzi za uhai wake.

Sehemu ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika Mbagala Kuu, eneo la Bucha jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mtoto wake mkubwa wa kike.

Sehemu ya waombolezaji wakiwa katika msiba wa marehemu Bi. Twitikege Mlagha Mafumu unaofanyika Mbagala Kuu, eneo la Bucha jijini Dar es Salaam nyumbani kwa mtoto wake mkubwa wa kike.

Kwaya ya Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam ikiimba kuomboleza msiba huo jana.

Kwaya ya Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam ikiimba kuomboleza msiba huo jana.

Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.

Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.

Baadhi ya wanakwaya wa Kanisa la Moravian Mtoni Kijichi jinini Dar es Salaam wakiimba kuomboleza kwa pamoja na waombolezaji katika msiba huo jana.

Baadhi ya...

 

10 years ago

Mtanzania

John Nyerere kuzikwa Jumatano Butiama

Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
MTOTO wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, John Nyerere, anatarajiwa kuzikwa Jumatano hii kijijini kwao Mwitongo wilayani Butiama mkoani Mara, baada ya kukamilika kwa taratibu za mazishi.
John alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), alipokua amelazwa baada ya kuugua maradhi ya mapafu na kisukari yaliyosababisha kifo chake.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwao marehemu Msasani jijini Dar es Salaam, mjukuu wa Mwalimu...

 

10 years ago

GPL

APOSTLE JOHN KOMANYA KUZIKWA JUMATANO MAKABURI YA SEGEREA, DAR

Apostle John Komanya akiwa studio za Global TV Online enzi za uhai wake. MAZISHI ya Askofu Mkuu na Mwanzilishi wa Kanisa la Cathedral of Joy (CoJ), Apostle John Komanya, yanatarajia kufanyika Jumatano, Julai 8, mwaka huu katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam. Apostle John Komanya akiwa na mkewe. Apostle Komanya alifariki dunia usiku wa kuamkia jana akiwa katika Hospitali ya HIndu Mandal, jijini Dar es Salaam...

 

11 years ago

CloudsFM

GEOGRE TYSON KUAGWA LEADERS JUMATANO,KUZIKWA KISUMU,KENYA JUNI 7

Mwili wa aliyekuwa mwongozaji na mtayarishaji wa filamu, George Otieno Tyson aliyefariki dunia kwa ajali ya gari mwishoni mwa wiki mkoani Morogoro ambapo mwili wake utaagwa siku ya Jumatano katika viwanja vya Leaders, Kinondoni na kusafirishwa kwenda Kisumu, Kenya na kuzikwa Juni 7.Tyson alifariki dunia Ijumaa usiku akiwa njiani kukumbizwa Hospitali ya Mkoa ya Rufaa Mkoa wa Morogoro kufuatia ajali mbaya ya gari iliyotokea maeneo ya Gairo, Morogoro.Katika ajali hiyo, mbali na marehemu...

 

11 years ago

Michuzi

Katibu Mkuu wa Yanga wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ afariki dunia, kuzikwa tabora jumatano


Katibu Mkuu wa Yanga  wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ (kulia) enzi za uhai wake akiwa katika moja ya mikutano ya klabu hiyo. Kushoto ni mmoja wa wazee maarufu wa klabu hiyo Mzee Yusuf Mzimba. Na Mahmoud Zubeiry

 Katibu Mkuu wa Yanga SC wa zamani, George Johnson Mpondela ‘Castor’ amefariki dunia jana saa nne usiku katika hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu ya moyo.

Mtoto wa marehemu, Hilton Mpondela amemwambia mwandishi wa habari hii...

 

10 years ago

Michuzi

Marehemu Mzee SK George Mallya kuzikwa Maili-Sita Moshi Alhamisi Agosti 13, 2015

Marehemu Mzee SK George MallyaFamilia ya  Mallya inasikitika kutangaza kifo cha Mzee SK George Mallya aliyefariki kwenye hospitali ya KCMC siku ya Jumamosi tarehe 8 Agosti. Taarifa ya familia inaeleza kuwa marehemu  anatarajiwa kuzikwa siku ya Alhamisi tarehe 13 Agosti, nyumbani kwake Maili-Sita, Moshi, ambako mipango ya mazishi inafanywa kwa sasa.Marehemu Mzee SK George Mallya atakumbukwa kama mmoja wa wanajeshi shupavu wa Kings African Rifles (KAR) wa  Tanganyika Battalion nyakati za Vita...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani