Mallah wa ACT kuzikwa Sango
Mwili wa aliyekuwa mgombea ubunge wa ACT - Wazalendo Jimbo la Arusha Mjini, Estomih Mallah unatarajiwa kuzikwa Jumatano ijayo kijijini kwao Sango, mkoani Kilimanjaro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Oct
Mallah kuzikwa Jumatano Moshi
MWILI wa a l i y e k u w a m g o m b e a ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia ACT- Wazalendo, Estomih Mallah unatarajiwa kuwasili siku ya Jumanne nyumbani kwake eneo la Suye Kimandolu jijini Arusha kwa ajili ya kuagwa.
9 years ago
TheCitizen09 Oct
ACT Wazalendo’s Estomih Mallah dies in Moshi
ACT-Wazalendo parliamentary candidate in Arusha Urban, Estomih Mallah passes away early today at the Kilimanjaro Christian Medical Center (KCMC).
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Estomih Mallah wa ACT Wazalendo afariki dunia
Mgombea ubunge wa ACT-Wazalendo katika jimbo la Arusha Mjini Estomih Mallah amefariki dunia usiku wa kuamkia leo huko KCMC, Moshi alikohamishiwa jana kwa matibabu zaidi.
11 years ago
Michuzi14 Jun
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Bongo523 Oct
Sauti Sol waibuka ‘Best African Act’ wa MTV EMA, sasa kuwania ‘Worldwide Act’
Kundi la Sauti Sol la Kenya limewabwaga Diamond, Davido na wasanii wengine wawili wa Afrika katika kipengele cha ‘Best African Act’ cha tuzo za MTV EMA. Hata hivyo huo sio mwisho kwakuwa Sauti Sol sasa watahitaji kura za bara zima la Afrika kuwania kipengele cha ‘Worldwide Act’ Kuanzia leo, October 23, hadi 29 October wasanii […]
9 years ago
TheCitizen07 Oct
PCCB must act,not pledge it will act on corruption
Remarks made in Mbeya by Prevention and Combating of Corruption Bureau (PCCB) boss, Dr Edward Hosea, that the anti-corruption agency will deal with corrupt politicians after General Election are unfortunate. Unfortunate, because it means, some corrupt politicians have been let loose to contest and Tanzanians could unwittingly elect people who used dirty methods to win a ticket to contest the polls.
10 years ago
Michuzi02 Oct
Taarifa Kwa Umma Kutoka Cham Cha ACT-TANZANIA Kuhusu Zitto Kabwe na Chama Cha ACT- Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-PQ3cCBhtNUE/VCwNv30XPoI/AAAAAAADEsg/fLSGWFewAGQ/s1600/01.aa4.jpg)
Katika gazeti la mwanahabari toleo na 117 la tarehe 29/09/2014 katika ukurasa wake wa mbele iliandikwa "MKAKATI WA KUKIPA NGUVU CHAMA CHA KIPYA CHA ZITTO KABWE WAVUJA".
Act-Tanzania tunaeleza kuwa ni chama cha watanzania wote kisichokuwa na mmilki wake na tunaunganishwa na misingi kumi ya chama pamoja na Itikadi yetu ya Demokrasia...
10 years ago
GPLMWENYEKITI WA CHAMA CHA ACT-TANZANIA AKIPINGA CHAMA CHA ACT-WAZALENDO
 Mwenyekiti wa ACT-Tanzania, Lucas Kadawi Limbu.  Mwenyekiti wa ACT-Tanzania, Lucas Kadawi Limbu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, ambapo alipinga Msajili wa Vyama Siasa Nchini, Jaji Francis Mtungi kubadilisha jina la chama cha ACT-Tanzania na kuwa ACT-Wazalendo bila ya kufuata utaratibu. Kulia ni Katibu Muenezi wa chama hicho, Fredy Kisena na Katibu Mkuu wa chama...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania