Watoto 8 wauawa nyumbani Australia
Polisi nchini Australia wanasema kuwa watoto wanane wamepatikana wakiwa wamekufa kwenye nyumba moja katika mji wa Cairns eneo la Queensland kaskazini ya Australia.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s72-c/a2.jpg)
JK AREJEA NYUMBANI BAADA YA ZIARA RASMI YA KISERIKALI NCHINI AUSTRALIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CFUv0c0dDEQ/Vb4eRpje1SI/AAAAAAAAW-w/0heScTWLDzU/s640/a2.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 akitokea Australia alikozuru kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
![](http://3.bp.blogspot.com/-T_XyzaLoVH8/Vb4c9gDw7nI/AAAAAAAAW-k/q_B_N8s-TaU/s640/a1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa...
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Rais Kikwete arejea nyumbani baada ya ziara rasmi ya kiserikali nchini Australia
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkuu wa Wilaya ya Ilala Mhe. Raymond Mushi katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam usiku wa Jumamosi Agosti 1, 2015 mara baada ya kurejea kutoka Australia kwa mwaliko rasmi wa Kiserikali kutoka kwa Gavana Mkuu wa nchi hiyo Mheshimiwa Peter Cosgrove.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Saidi Meck Sadik baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CQg7YXs4p5M/XmakE3wgLYI/AAAAAAALiUU/364dhzDVSjwS8uiwC9NSK4W8pZ1oswRHwCLcBGAsYHQ/s72-c/8ea7cdd1-676b-47ad-acd1-521826eaa55f.jpg)
WAZAZI WENYE WATOTO MAHITAJI MAALUM WAASWA KUWAPELEKA SHULE WATOTO WAO BADALA YA KUKAA NAO NYUMBANI
Ameyasema hayo wakati akitoa vifaa mbalimbali vilivyotolewa na wanawake viongozi wa Elimu Wilaya ya Tandahimba kwenye shule maalum mjimpya
Mwinuka ameeleza kuwa shule hiyo ni bweni hivyo wanapokea watoto wakike na wakiume wananchi waache kuwafungia ndani badala yake wawapeleke wakapate elimu mbalimbali...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1D30FS3uScvyRmFPmx*4kXLbuBrs9kHaIPcfXO5euWsWX*DhqLnJP5U*c2yGhjz9jWByj5bARsk0-MMcLjM1FsD0J-kbwDKd/MAUA.jpg)
MAUAJI YA WATOTO 8 AUSTRALIA, MAMA MZAZI ASHITAKIWA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfaXkQTkr088tMmq8-11Y*5liW-5luW8mMMIsnE112PgiFQsDWN*EihwrbfQkJkIylqcWE96lakxiEgtw5shcpdL/WATU.jpg)
WATOTO 8 WAKUTWA WAMEUAWA NDANI YA NYUMBA AUSTRALIA
11 years ago
BBCSwahili20 Mar
Watoto wauawa kikatili CAR
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanawake na watoto wauawa DRC
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watoto saba wauawa kinyama Honduras