Watoto saba wauawa kinyama Honduras
Serikali nchini Honduras inachunguza vifo vya watoto saba wanaosadikiwa kuuawa baada ya kukataa kujiunga na magenge ya uhalifu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili19 Nov
Mrembo na dadake wauawa Honduras
9 years ago
BBCSwahili08 Nov
Watu 7 wauawa kinyama Burundi
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Mama, watoto wachinjwa kinyama
![IGP Mangu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/IGP-Mangu.jpg)
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Mwandishi Wetu, Nzega
WIMBI la mauaji ya kutisha limeendelea kutikisa nchini, baada ya watu wasiojulikana kuwaua mama na watoto wake wawili kwa kuwakatakata kwa mapanga usiku wa kuamkia juzi.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika Kijiji cha Nata wilayani Nzega mkoani Tabora.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzan Kaganda, aliwataja waliouawa kuwa ni mama Leticia Thomas, Marietha Nicolaus ambaye ni mwanafunzi wa...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Watanzania saba wauawa Zambia
MIILI ya watu saba inayosadikiwa kuwa ni raia wa Tanzania, imekutwa katika Kijiji cha Chianga kilichopo Wilaya ya Nakonde nchini Zambia. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nakonde, zinaeleza polisi wa...
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Saba wauawa Puntland , Somalia
10 years ago
Habarileo10 Oct
Watu saba wauawa, nyumba 20 zateketezwa
WATU saba wameuawa na nyumba zaidi ya 20 kuchomwa moto katika vurugu zilizodaiwa kuanzishwa na wananchi katika Kijiji cha Murufiti, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, chanzo chake kikiwa imani za ushirikina. Habari zilizopatikana kutoka wilayani Kasulu na baadaye kuthibitishwa na Polisi, zinasema vurugu hizo zilitokea juzi usiku na watu waliouawa, walikuwa wakituhumiwa kujihusisha na ushirikina.
10 years ago
Vijimambo01 Nov
Simba saba wauawa kwa sumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507220/highRes/865179/-/maxw/600/-/opxkdcz/-/simba.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wanajeshi saba wauawa na bomu Misri
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi