Watanzania saba wauawa Zambia
MIILI ya watu saba inayosadikiwa kuwa ni raia wa Tanzania, imekutwa katika Kijiji cha Chianga kilichopo Wilaya ya Nakonde nchini Zambia. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Nakonde, zinaeleza polisi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
10 years ago
BBCSwahili20 Apr
Saba wauawa Puntland , Somalia
10 years ago
Habarileo10 Oct
Watu saba wauawa, nyumba 20 zateketezwa
WATU saba wameuawa na nyumba zaidi ya 20 kuchomwa moto katika vurugu zilizodaiwa kuanzishwa na wananchi katika Kijiji cha Murufiti, Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma, chanzo chake kikiwa imani za ushirikina. Habari zilizopatikana kutoka wilayani Kasulu na baadaye kuthibitishwa na Polisi, zinasema vurugu hizo zilitokea juzi usiku na watu waliouawa, walikuwa wakituhumiwa kujihusisha na ushirikina.
10 years ago
Vijimambo01 Nov
Simba saba wauawa kwa sumu
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2507220/highRes/865179/-/maxw/600/-/opxkdcz/-/simba.jpg)
10 years ago
BBCSwahili19 Oct
Wanajeshi saba wauawa na bomu Misri
11 years ago
BBCSwahili03 May
Watoto saba wauawa kinyama Honduras
9 years ago
BBCSwahili09 Oct
Watu saba wauawa kwa risasi Burundi
5 years ago
BBCSwahili21 Jun
Takribani watu saba wauawa kwa mashabulizi ya mabomu nchini Somalia
10 years ago
Habarileo11 Aug
Watanzania saba waula CAF
WATANZANIA saba wameula baada ya kuteuliwa kwenye kamati mbalimbali za Shirikisho la Soka Afrika, (CAF). Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa Shirikisho la Soka Tanznia (TFF), uteuzi huo ulifanyika kwenye kikao cha Kamati ya Utendaji ya CAF kilichokutana mwishoni mwa wiki iliyopita jijini Cairo, Misri.