Mzazi aliyeozesha ‘kitoto’ kwa babu miaka 54 mbaroni
MZAZI aliyeoza mtoto wake kwa mzee wa miaka 54, juzi alikamatwa na polisi na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, na kufunguliwa kesi ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa la kuozesha mtoto mdogo kinyume cha sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mzazi, ngariba mbaroni kwa ukeketaji
10 years ago
Mtanzania05 May
Babu Tale afiwa na baba yake mzazi
BABA mzazi wa Babu Tale ambaye ni meneja wa Abdul Nassib ‘Diamond’, amefariki dunia mchana wa jana Manzese jijini Dar es Salaam.
Kifo hicho kimetokea ikiwa ni miezi kadhaa tu tangu kaka wa Babu Tale, Abdu Bonge kufariki dunia.
Msanii wa kundi hilo, Madee alithibitisha kutokea kwa kifo hicho huku akieleza kwamba msiba utakuwa nyumbani kwao Manzese ambako palifanyika msiba wa Abdu Bonge.
“Ni kweli baba wa Abdu Bonge amefariki leo (jana) na msiba upo Manzese jijini Dar es Salaam ila chanzo cha...
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi
JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-S238o7hD_rM/XvSAX5vpU7I/AAAAAAALvXc/x8TVFnCHiLk1vgPEb_loI58WeXzvPZUfACLcBGAsYHQ/s72-c/MBARONI.jpg)
Njombe:Kijana mbaroni kwa tuhuma za kumlawiti mwenzake wa miaka 15
![](https://1.bp.blogspot.com/-S238o7hD_rM/XvSAX5vpU7I/AAAAAAALvXc/x8TVFnCHiLk1vgPEb_loI58WeXzvPZUfACLcBGAsYHQ/s640/MBARONI.jpg)
Akizungumza na kituo hiki kwa njia ya simu kamanda Issa amesema mtuhumiwa huyo anashikiliwa na jeshi hilo baada ya kupata taarifa hizo kutoka kwa wananchi.
“Kijana huyu Peter Chaula ni mfanyabiashara,ni hali isiyoyakawaida kwasababu baada...
9 years ago
StarTV16 Dec
Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida
Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.
Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOC7BqAcxPsFrw4I4RS02CG*MZli2PUcRG*5by1aSF5CI100oG2PWd4o7lmyDkApDttbzQRj2lGd6JHwz18rqOfQvCIcC0-s/auawa.jpg)
BABU MIAKA 82 AUAWA....
11 years ago
Habarileo08 Jun
Babu wa miaka 97 asaka mtoto
BABU aliyefunga ndoa mwaka 2011 akiwa na umri wa miaka 94, Mathias Kisokota mkazi wa Kitongoji cha Isunta, Namanyere wilayani Nkasi ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 97, amehamia na mkewe katika Mji wa Mpulungu mwambao wa Ziwa Tanganyika nchi jirani ya Zambia miezi sita iliyopita kwa lengo la kufanya tambiko la kumwezesha mkewe mwenye umri wa miaka 83 kupata mtoto wa uzeeni.
11 years ago
Mwananchi24 May
Babu ambaka mfululizo mtoto wa miaka 12
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx8TLRwt8D9xGn18*1bDt5OwFmNqfOvBUARIHtxhNTDVtilpRYPB2wsXIEGgG5r4xNp*ADRtZfQ13OZpScoh6cx1/BABU.jpg)
BABU SEYA, PAPII MIAKA 10 GEREZANI