Mzazi, ngariba mbaroni kwa ukeketaji
Polisi Kanda Maalumu ya Tarime/Rorya kwa kushirikiana na Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), wamewatia mbaroni watu wawili kwa kula njama na kuwakeketa watoto wa kike wanne wa Kijiji cha Marasibora, Kata ya Kisumwa, Wilaya ya Rorya, mkoani Mara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Jan
Mzazi aliyeozesha ‘kitoto’ kwa babu miaka 54 mbaroni
MZAZI aliyeoza mtoto wake kwa mzee wa miaka 54, juzi alikamatwa na polisi na kufikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda, na kufunguliwa kesi ya kula njama kwa nia ya kutenda kosa la kuozesha mtoto mdogo kinyume cha sheria.
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Mbaroni akishukiwa mauaji ya baba mzazi
JESHI la Polisi mkoani Kagera linamshikilia Issa Sadick (49), Mkazi wa Itongo tarafa ya Nshamba Wilaya ya Muleba kwa tuhuma za mauaji ya baba yake mzazi na mama yake wa...
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Tanzania: 12 mahakamani kwa ukeketaji
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Tuungane kwa pamoja kupambana na ukeketaji
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Daktari afungwa kwa ukeketaji Misri
9 years ago
Raia Mwema21 Oct
Tunaongoza kwa ukeketaji demokrasia, uchaguzi si kipimo chake
OKTOBA 25, mwaka huu, nchi yetu inafanya uchaguzi wa nne chini ya mfumo wa demokrasia ya vyama vi
Joseph Mihangwa
10 years ago
Dewji Blog07 Feb
Tamko la pamoja kwa siku ya kimataifa ya kukomesha ukeketaji dhidi ya wa watoto wa kike
UNFPA, UNICEF, Shirikisho la Kimataifa la Wakunga na Shirikisho la Kimataifa la Magonjwa ya Wanawake na Uzazi.
Wito kwa wafanyakazi wa afya duniani kote ili kuhamasisha kukomesha ukeketaji
Kwa mwaka 2015, ujumbe wa kimataifa wa siku ya kupinga ukeketaji umewalenga wahudumu wa afya; “Uhamasishaji na ushirikishwaji wa wafanyakazi wa Afya ili kuharakisha kutokomeza ukeketaji”. Na hii ni kwa sababu asilimia 34 ya ukeketaji duniani hufanywa na wahudumu wa afya.
Pamoja na ujumbe huu mahsusi kwa...
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Shirika la WOWAP lawafunda vijana Singida kukabiliana na ukeketaji kwa watoto wa kike
Mratibu wa mradi wa kutokomeza ukeketaji kwa njia ya majadiliano mkoa wa Singida, Zuhura Karya, akihamasisha wanavikundi wa vijana na wanawake kata ya Sepuka jimbo la Singida magharibi kuongeza juhudi katika kupambana na vitendo vya ukeketaji kwa watoto wa kike. Kwa mujibu wa mratibu Karya, kwa sasa hali ni mbaya zaidi kwa vile vitoto vichanga vinakeketwa kwa kucha.
Baadhi ya wanavikundi wa wanawake wa kata ya Sepuka jimbo la Singida magharibi,wakifuatilia elimu juu ya madhara yatokanayo...
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/10945033_856755441041229_6165141623154796543_o.jpg)
TAMKO LA PAMOJA KWA SIKU YA KIMATAIFA YA KUKOMESHA UKEKETAJI DHIDI YA WA WATOTO WA KIKE