Tanzania: 12 mahakamani kwa ukeketaji
Wanawake 12 wanaotuhumiwa kuwafanyia ukeketaji wasichana 21, wamefikishwa mahakamani wilayani Same, Kilimanjaro
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziTANZANIA YASAINI MAKUBALIANO NA UINGEREZA YA KUKOMESHA NDOA ZA UTOTONI NA UKEKETAJI KWA WATOTO KIKE
11 years ago
Vijimambo
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA



11 years ago
Michuzi
ADHA YA UKEKETAJI TANZANIA KUJADILIWA NA WABUNGE UINGEREZA
Jumatano ijayo tarehe 15 Oktoba, 2014...kundi la kina mama watatu akiwemo Mtanzania litashiriki jopo la ukeketaji na Wabunge, London, Uingereza.
Mtanzania, Rhobi Samwelly, mama wa watoto wanne, ni mzawa wa Butiama, Mara. Wenzake ni Comfort Momoh, toka Nigeria, anayetibu wanawake waliokeketwa hospitali mbili za Guy’s na St Thomas, London na Ann-Marie Wilson mkurugenzi wa “28 Too Many.” Shirika hili lenye tovuti yenye http://28toomany.org/ ni maktaba kubwa yenye habari, picha,...
11 years ago
Dewji Blog27 Jun
Waziri Simba azinduwa mkutano kujadili utokomezaji ukeketaji Tanzania

Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Sophia Simba akizungumza kabla ya kufungua rasmi mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Mkurugenzi Mtendaji wa Chama cha Wanahabari Wanawake Tanzania (TAMWA), Valerie Nsoka akizungumza katika mkutano huo.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, akizungumza katika mkutano wa Kitaifa wa Kujadili Utokomezaji wa Ukeketaji Nchini Tanzania.

Mwakilishi Msaidizi wa UNFPA, Mariam Khan...
11 years ago
Michuzi07 Feb
Mapambano dhidi ya ukeketaji Tanzania , safari ni ndefu lakini kuna matumaini

11 years ago
GPL
WAZIRI SIMBA AZINDUWA MKUTANO KUJADILI UTOKOMEZAJI UKEKETAJI TANZANIA
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Mzazi, ngariba mbaroni kwa ukeketaji
10 years ago
BBCSwahili26 Jan
Daktari afungwa kwa ukeketaji Misri
11 years ago
Mwananchi21 Sep
Tuungane kwa pamoja kupambana na ukeketaji