Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WACHUNGAJI MBARONI KWA ULAWITI WA WATOTO KANISANI

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji. Watoto sita waliobakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji. Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Muumini Moravian mbaroni kwa kufanya fujo kanisani

Leonard PaulPOLISI mkoani Morogoro linamshikilia Jackson Mnyilemi (20), ambaye ni muumini wa Kanisa la Moravian Tarafa ya Malinyi wilaya ya Ulanga mkoani Morogoro kwa tuhuma za kuhusika kufanya fujo kanisani.

 

10 years ago

Dewji Blog

Wachungaji watatu 3 jijini Arusha wanashikiliwa na polisi kwa kulawiti watoto 6 wakiwamo 2 wa jinsia ya kiume

bomu

Kamanda wa Polisi Arusha, Liberatus Sabas.

Na Mwandishi wetu

WATOTO sita, wakiwemo wawili wa kiume wenye umri wa miaka 8 hadi 14 wameharibiwa vibaya sehemu zao za siri baada ya kubakwa kanisani na watu wanaodaiwa ni wachungaji.

Wakiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Arusha, Mount Meru walikopelekwa kwa matibabu na kuangaliwa maambukizi ya magonjwa ya zinaa, watoto hao walidai kufanyiwa mchezo huo kwa nyakati tofauti  na wachungaji watatu wa kanisa hilo lililopo eneo la  Feed Force, Kwamrombo...

 

10 years ago

Mwananchi

Baba mbaroni kwa kuwabaka watoto wake

Mkazi mmoja wa Miembe Saba wilayani Kibaha mkoani Pwani amekamatwa na polisi akituhumiwa kuwabaka watoto wake wawili wadogo kwa zaidi ya miaka miwili sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

Wawili mbaroni kwa tuhuma za kuwateka watoto

Polisi wa Kanda ya Dar es Salaam wamewakamata watu wawili wenye asili ya Kiasia ambao wanatuhumiwa kujihusisha na vitendo vya utekaji nyara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wazazi Geita mbaroni kwa kutopeleka watoto shule

WAZAZI watano mkoani Geita wamekamatwa na Polisi kwa kugoma kuwapeleka watoto wao shule na kuwalazimisha kuwaoza. Hatua hiyo inatokana na agizo la Mkuu wa Mkoa wa Geita, Saisi Magalula, la...

 

9 years ago

StarTV

Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.

Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...

 

9 years ago

Habarileo

Polisi jela maisha kwa ulawiti

ASKARI Polisi mwenye namba G 9762 PC Daniel (24), amehukumiwa kifungo cha maisha jela, kulipa fidia ya Sh milioni mbili kwa mlalamikaji baada ya kupatikana na hatia ya kumlawiti mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 13.

 

5 years ago

Michuzi

VITENDO VYA ULAWITI KWA WANAFUNZI VYASHAMIRI ARUSHA

Na Ahmed Mahmoud, Arusha

Vitendo vya ubakaji na kulawitiana kwa baadhi ya wanafunzi  wa kiume wa shule za msingi jijini Arusha vimeelezwa kushamiri kiasi cha wanafunzi kushindwa kusoma,ambapo walimu wa shule hizo wameitaka jamii kuunganisha nguvu ili  kutokomeza matukio hayo yanayosababishwa na utandawazi.

Hayo yamebainishwa  jijini Arusha na baadhi ya walimu wa shule za msingi wakati wakipatiwa mafunzo maalumu juu ya vitendo vya ukatili na unyanyashaji dhidi ya wanawake na mtoto yaliyotolewa...

 

11 years ago

GPL

MJUKUU ASAKWA KWA UBAKAJI, ULAWITI BIBI MIAKA 74!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
UNYAMA uliyoje! Kijana aliyefahamika kwa jina moja la Pius (28), mkazi wa Kijiji cha Nyingwa Kata ya Kibungo Juu, Tarafa ya Matombo wilayani Morogoro Vijijini, anasakwa kwa tuhuma za ubakaji na ulawiti wa bibi mmoja,(74). Bibi anayesadikiwa kibakwa na kulawitiwa na mjukuu wake aliyefahamika kwa jina moja la Pius. Kwa mujibu wa chanzo chetu, mtuhumiwa huyo alikamatwa na kufikishwa katika Kituo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani