Maji yenye kemikali yababua watoto miguu
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Dk Binilith Mahenge amekataa kuwapa cheti cha utunzaji wa mazingira kiwanda cha nguo cha Nida kilichopo Tabata katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Utafiti: Mtindi kinga dhidi ya kemikali hatari kwa wajawazito na watoto
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0YDNtVz-Kk/VfAONL5rh4I/AAAAAAAH3iU/k3Iu0TfZ6_M/s72-c/download.jpg)
“HATUSAMBAZI MAJI YENYE UCHAFU BUGURUNI”- DAWASCO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Z0YDNtVz-Kk/VfAONL5rh4I/AAAAAAAH3iU/k3Iu0TfZ6_M/s1600/download.jpg)
Akizungumza na gazeti hili, Kaimu Meneja Uhusiano wa Dawasco , Bi Everlasting Lyaro alisema taarifa hizo za uzushi zimesambazwa na watu wachache ili kuchafua taswira ya shirika hilo na pia kuihusisha Dawasco moja kwa moja na mlipuko wa kipindupindu ulioingia...
10 years ago
Vijimambo03 Oct
Wanafunzi 39 walazwa kunywa maji yenye petroli
Hata hivyo, wanafunzi watatu wanashikiliwa na Jeshi la polisi wakituhumiwa kuhusika na tukio hilo.Tukio hilo limetokea jana asubuhi wakati wakipata chai na kunywa maji hayo yaliyohifadhiwa kwenye plastiki maalum linalomilikiwa na shule hiyo.
Mwalimu wa zamu, Ali Elias, alisema tukio hilo limesababisha wanafunzi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-YtH7OBkQH4Q/VkB81mYQiHI/AAAAAAADB_U/qQ4vYnb3BpM/s72-c/New%2BPicture.png)
DAWASCO YAKANUSHA KUSAMBAZA MAJI YENYE KINYESI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-YtH7OBkQH4Q/VkB81mYQiHI/AAAAAAADB_U/qQ4vYnb3BpM/s1600/New%2BPicture.png)
Katika gazeti la Mzalendo lilikuwa na kichwa cha habari “Wengi Dar watumia maji yenye kinyesi” na upande wa gazeti la Majira lilibeba kichwa cha habari “Maji machafu yaathiri Dar”. Ndani ya habari hizo waandishi wameelezea shirika la Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASCO) kama moja ya...
9 years ago
StarTV16 Dec
Baba awaunguza watoto wake midomo, mikono na  miguu
Mkazi wa kijiji cha Msasa kata ya Busanda wilayani Geita Lucas Perto anashikiliwa kwenye ofisi ya Afisa mtendaji wa kata hiyo kwa tuhuma ya kuwaunguza midomo, mikono na miguu watoto wake akiwatuhumu kuiba mboga aina ya samaki kwa jirani yake.
Baada ya kutekeleza ukatili huo Desemba 6 mtuhumiwa mwenye umri wa miaka 29 aliwaficha watoto wake hadi Desemba 12 walipogunduliwa na wasamaria wema wakiwa wameanza kutoa harufu mbaya.
Wahudumu wa Afya ya msingi ya jamii ndiyo waliookoa maisha ya watoto...
10 years ago
MichuziBANK OF AFRICA-TAZANIA, YAZINDUA UCHANGIAJI MATIBABU KWA WATOTO WALIOPINDA MIGUU
BANK OF AFRICA-TANZANIA, leo imezindua rasmi kampeni ya uchangiaji wa dola 100,000 ili kuisaidia Hospitali ya CCBRT katika mpango wake wa kufanikisha matibabu ya watoto 400 wanaosumbuliwa na ugonjwa wa kupinda miguu.
Msaada huu kwa Hospitali ya CCBRT utawezesha watoto kutoka katika mikoa mbalimbali ya Tanzania kupata matibabu bure au kwa gharama nafuu ili kuwawezesha kutembea sawa sawa.
Ugonjwa wa kupinda miguu unaweza kuathiri mguu mmoja au yote miwili. Miguu iliyopinda...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Fuom-C-yCMM/XpajiZ00npI/AAAAAAALm_E/ssAfj3SZGpANVupUKboCjazOKe0YiTALACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200414_113418_2.jpg)
RIDHIWANI AIKABIDHI HALMASHAURI YA CHALINZE MABATI, MATANKI YA MAJI YENYE GHARAMA YA MIL.13.9
MBUNGE wa Jimbo la Chalinze ,Ridhiwani Kikwete amekabidhi mabati 1,000 kwa halmashauri ya Chalinze ,pamoja na tanki za maji na mabeseni Tisa vyote vikiwa na gharama ya milioni 13.9.
Kati ya mabati hayo 600 yataelekezwa katika miradi ya halmashauri ya sekta ya elimu na afya na 400 yatapangiwa kazi na matakwa ya mfuko wa jimbo.
Akizungumzia kuhusu msaada huo ,Ridhiwani alieleza kuwa , shule ya sekondari Changarikwa inapatiwa mabati 90,Msata 90,Chamakweza mabati...
9 years ago
MichuziBANK OF AFRIKA TANZANIA YAKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 210 KUSAIDIA MATIBABU YA WATOTO WANAOZALIWA NA MIGUU ILIYOPINDA
10 years ago
GPLTIGO YATOA DOLA 150,000 KWA HOSPITALI YA CCBRT KUSAIDIA WATOTO WENYE MIGUU ILIYOPINDA